qeentar
Member
- May 20, 2011
- 24
- 1
Mtandao wa kijinsia tanzania (TGNP)unaandaa semina ya demokrasia na maendeleo,ardhi,nguvukazi,na maisha endelevu litakalofanyika tarehe13 hadi 16 septemba mwaka huu jijini Dar es salaam
tamasha litalenga zaidi harakati za kijamii na wanawake walioko pembezoni kuhakikisha wanapata fursa sawa za kufikia na kumiliki rasilimali katika ngazi zote.
katika muktadha wa zahama ya fedha na uchumi duniani,inayojiri sasa,unyang,anyi wa rasilimali za Africa ambao unahusisha ardhi,maji,misitu,madini,mafuta,gesi ya asili,unaofanywa na makampuni ya kimataifa na serikali zao unatishia ustawi na riziki ya watu wengi hususan wanawake
mada za tamasha la jinsia zitalenga kwenye nyenzo za kupata haki na uchumi ili kufikia maisha endelevu.
changamoto kubwa inayomkabili mwanamke wa kawaida ni jinsi ardhi inavyomwathiri yeye,watoto na vizazi vijavyo.
itaendelea
tamasha litalenga zaidi harakati za kijamii na wanawake walioko pembezoni kuhakikisha wanapata fursa sawa za kufikia na kumiliki rasilimali katika ngazi zote.
katika muktadha wa zahama ya fedha na uchumi duniani,inayojiri sasa,unyang,anyi wa rasilimali za Africa ambao unahusisha ardhi,maji,misitu,madini,mafuta,gesi ya asili,unaofanywa na makampuni ya kimataifa na serikali zao unatishia ustawi na riziki ya watu wengi hususan wanawake
mada za tamasha la jinsia zitalenga kwenye nyenzo za kupata haki na uchumi ili kufikia maisha endelevu.
changamoto kubwa inayomkabili mwanamke wa kawaida ni jinsi ardhi inavyomwathiri yeye,watoto na vizazi vijavyo.
itaendelea