Tamaa ya fedha ilisababisha CHADEMA kuitupa turufu ya Wamachinga na Mama Lishe

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Kama kuna jambo ambalo ni kero na kinyongo kwa CHADEMA ni kitendo cha Mama Lishe na Wamachinga kuwapuuza.

Tamaa ya pesa baada uchaguzi wa mwaka 2015 iliwapa kichaa, wakawekeza kwa mabwanyenye wakati CCM wakirekebisha makosa na kujuika na wamachinga,mama lishe nk.

Ilifika wakati CHADEMA walipoona mambo yanaenda ndivyo sivyo walisema "tunaenda kushtaki kwa wananchi" lakini sasa imekuwa kinyume.Wanategemea akina Amsterdam sio wananchi tena.

Kumekuwa na kinyongo cha wazi kwa viongozi na wafuasi wa CHADEMA dhidi ya Wafanyabiashara ndogo ndogo.Siku hizi sio ajabu kukuta viongozi na wafuasi wa CHADEMA wakimtetea Seth au Manji kwa ujira mdogo tu ilimradi mkono uende kinywani.

Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".
 
Ndugu zangu,

Kama kuna jambo ambalo ni kero na kinyongo kwa Chadema ni kitendo cha mamalishe na wamachinga kuwapuuza.

Tamaa ya pesa baada uchaguzi wa mwaka 2015 iliwapa kichaa,wakawekeza kwa mabwanyenye wakati CCM wakirekebisha makosa na kujuika na wamachinga,mama lishe nk.

Ilifika wakati Chadema walipoona mambo yanaenda ndivyo sivyo walisema "tunaenda kushtaki kwa wananchi" lakini sasa imekuwa kinyume.Wanategemea akina Amsterdam sio wananchi tena.

Kumekuwa na kinyongo cha wazi kwa viongozi na wafuasi wa Chadema dhidi ya wafanyabiashara ndogo ndogo.Siku hizi sio ajabu kukuta viongozi na wafuasi wa Chadema wakimtetea Seth au Manji kwa ujira mdogo tu ilimradi mkono uende kinywani.

Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".
Wanyama wakubwa nyinyi
 
Angeongelea kwamba Tume HURU ipatikane ili tuone ni Sera zipi zinazokubalika na Wananchi,sasa anajitapa wakati Tume yenyewe ni ya Wakurugenzi na Makada wa CCM..hivi kweli unajitambua kweli?
 
Ndugu zangu,

Kama kuna jambo ambalo ni kero na kinyongo kwa Chadema ni kitendo cha mamalishe na wamachinga kuwapuuza.

Tamaa ya pesa baada uchaguzi wa mwaka 2015 iliwapa kichaa,wakawekeza kwa mabwanyenye wakati CCM wakirekebisha makosa na kujuika na wamachinga,mama lishe nk.

Ilifika wakati Chadema walipoona mambo yanaenda ndivyo sivyo walisema "tunaenda kushtaki kwa wananchi" lakini sasa imekuwa kinyume.Wanategemea akina Amsterdam sio wananchi tena.

Kumekuwa na kinyongo cha wazi kwa viongozi na wafuasi wa Chadema dhidi ya wafanyabiashara ndogo ndogo.Siku hizi sio ajabu kukuta viongozi na wafuasi wa Chadema wakimtetea Seth au Manji kwa ujira mdogo tu ilimradi mkono uende kinywani.

Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".
stress za kifo cha jiwe itakuchukua miaka mingi kukutoka
 
Back
Top Bottom