Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Kuna kituko kimetokea hapa Moshi mitaa ya double road jion hii, askari amemfumania mkewe akiwa na katoto kao kachanga 6 mnths, wakifanya ngono na dereva tax bubu ndani ya gari....! Mwanamke anamuwakia mumewe anamwambia yeye ndie chanzo manake haitunzi familia na hawezi ona wanae wakifa njaa so anaongeza kipato na mume anamlaani mkewe kuwa haridhiki eti elf 5 kila cku haitoshi au anataka ampe mshahara wote, mke anadai elf 5 ni per week na ako na family ya watu 8? Huyu dada anaongea kwa kujiamini mpaka nashangaa...ila nimebaki na maswali kichwani, NI KOSA LA NANI HAPO MUME? MKE? Au......!