Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Vita ya imanMambo ni magumu jmn vita sikia tu kwa jirani
Vita ya imanMambo ni magumu jmn vita sikia tu kwa jirani
Sio waarabu hawa,wala hawahusiani na waarabu.Soma jiografia.Elimu muhimu.Haya magaidi ya kiarabu yameathiriwa na kitabu chao
Taarifa za muda mfupi uliopita
Msemaji wa Serikali ya Taliban amesema wamepiga marufuku Raia yeyote wa Afghanistan kuondoka nchini humo kuanzia leo
Aidha ameongeza kuwa wamepiga marufuku Wanawake kutoka nje ya nyumba zao
BBC
Mbona Kama unajiua kwa hela yako ndugu yangu. Yaani just for instant gratification unamaliza afya yako.View attachment 1906330
Daaah! Kutokula hii kitu watu husababisha ukatili
Nile mkuu msaada wa mwongozoMbona Kama unajiua kwa hela yako ndugu yangu. Yaani just for instant gratification unamaliza afya yako.
Hebu niambie hapo umeongeza madini,vitamin ama kundi Gani la chakula mwilini. Kwanza epuka fried foods is poison.
Pia usiusikilize mwili unavyotaka Mana utakupoteza afya yako na nafsi yako.
Yaani ule utamu wa mdomoni na ni wa muda tu na sio kuwa ni milele.
Mie Nikila kitu najiuliza kinaenda kunijengaje.
Sayansi nimeisoma ya kunisaidia kuijua afya yangu. Mfano kitunguu swaumh ni kichungu mdomoni Ila mwilini kina faida kubwa Sana Tena Sana na kinatibu magonjwa mengi Sana. Gugo utaona.jipende cheki source ya cancer foods in USA and Europe.
Ni kweli kabisa mkuuView attachment 1906330
Daaah! Kutokula hii kitu watu husababisha ukatili
PashtunHaya magaidi ya kiarabu yameathiriwa na kitabu chao
Pashtun
Asili yao Iran mashariki. Wanafikia 42% nchini Afghanistan. Wairan ni waajemi.
Tajik
Ni Wairan kiasili na kwa jina jengine wanafahamika kama Farsi. Lugha yao ina lugha ya kiuajemi nchini mwao inafahamika kama Dari. Wanafikia 27% nchini Afghanistan.
Hazara
Asili yao ni Mongol na ni vitukuu vya mwanzilishi wa dola ya Mongol anayeitwa Genghis Khan. Wanachukua 10% nchini Afghanistan.
Uzbek
Nchini Afghanistan hawa wanajaza 9% ya raia wa nchi hiyo, asili yao ni Turkic. Wanazungumza Uzbek, lugha ya waturuki.
Aimaq
Aisili yao ni Iran. Wanatengeneza 4% ya raia wa Afghanistan.
Wengine waliyobakia ni Baluchi (2%) na Turkmen (2%).
Sasa hapo waarabu wako wapi?
Ugaidi wao ni upi?Wanaweza wasiwe waarabu ila ukweli mchungu ni kuwa ni wajinga km waarabu ujinga wao unaaunganishwa na itikadi ya dini kwa kupractice ugaidi kupitia dini eti wanajiita wafia dini
Waarabu dini kwao ilikuwepo tangu karne ya 7. Mbona muda wote hawakufanya ugaidi unaoongelewa leo?Wanaweza wasiwe waarabu ila ukweli mchungu ni kuwa ni wajinga km waarabu ujinga wao unaaunganishwa na itikadi ya dini kwa kupractice ugaidi kupitia dini eti wanajiita wafia dini
Waarabu dini kwao ilikuwepo tangu karne ya 7. Mbona muda wote hawakufanya ugaidi unaoongelewa leo?
Dola ya Ottoman (Waturuki) nao ni wa dini hiyo hiyo. Mbona hawafanyi ugaidi?
Wakristo na Wayahudi kipindi cha Ottoman walifahamika kama Al dhimmi yaani protected.Waturuki wa leo sio wa kipindi kile cha ottoman
Ottoman alieneza uislam kwa panga (kwa lazima)kwa sasa ni uislam unaenezwa kwa njia ya ugaidi waturuki wa leo wameelimika wanaishi kimagharibi ila wale extremities hawajaisha wapo pia
Walichowafanyia Wa-Armenia mwaka 1915 kimewatia doa.Waarabu dini kwao ilikuwepo tangu karne ya 7. Mbona muda wote hawakufanya ugaidi unaoongelewa leo?
Dola ya Ottoman (Waturuki) nao ni wa dini hiyo hiyo. Mbona hawafanyi ugaidi?
Umeongea point sana mkuu. Hapo ulipo agiza kili moja ya mdudu na ndizi kadhaa, mimi nitalipaMbona Kama unajiua kwa hela yako ndugu yangu. Yaani just for instant gratification unamaliza afya yako.
Hebu niambie hapo umeongeza madini,vitamin ama kundi Gani la chakula mwilini. Kwanza epuka fried foods is poison.
Pia usiusikilize mwili unavyotaka Mana utakupoteza afya yako na nafsi yako.
Yaani ule utamu wa mdomoni na ni wa muda tu na sio kuwa ni milele.
Mie Nikila kitu najiuliza kinaenda kunijengaje.
Sayansi nimeisoma ya kunisaidia kuijua afya yangu. Mfano kitunguu swaumh ni kichungu mdomoni Ila mwilini kina faida kubwa Sana Tena Sana na kinatibu magonjwa mengi Sana. Gugo utaona.jipende cheki source ya cancer foods in USA and Europe.