Guys,
CWT wako imara sana kutangaza mgogoro na serikali mpaka government inataka ikae nayo march 15 lakini TALGWU wamelala tu na kufuga matumbo hawatetei haki za watumishi wake as a result, madeni wataendelea kulipwa walimu tu kama vile watumushi ni walimu pekee, kama kwenye uchaguzi walumu tu, watumushi wengine tunaenda wapi?
CWT wako imara sana kutangaza mgogoro na serikali mpaka government inataka ikae nayo march 15 lakini TALGWU wamelala tu na kufuga matumbo hawatetei haki za watumishi wake as a result, madeni wataendelea kulipwa walimu tu kama vile watumushi ni walimu pekee, kama kwenye uchaguzi walumu tu, watumushi wengine tunaenda wapi?