Talaka

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
Mwanaume: Rafiki yangu mi nataka mpatia mke wangu talaka.

Rafiki: Kwa nini tena?

Mwanaume: Kila nkirudi nyumbani nakuta kaficha mwanaume kwenye kabati la nguo.

Rafiki: Oh! Hiyo mbaya sana.

Mwanaume: Yaani nakosa nafasi ya kutundika nguo zangu kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom