Lol pole sana kwa maumivu yaliyopitaNimeshadate wanaume wawili
Wa kwanza aliniacha,huyu wa pili one thing for sure ni kwamba siji kumuacha labda aniache yeye... huwa sina moyo wa kuacha mtu
Wa kwanza aliniacha miaka mitatu iliyopita
Tuliza akili fanya kama amekufa... Vinginevyo utaona mwenzio anaishi kwa furaha wewe unajijazia BP, sukari, pumu, umasikini, wazimu, ukichaa, uzezeta mwisho.....Nina siku tatu ila sina uhakika kama ni mimi huyu niliyefanya maamuzi! Mambo hayakuwa mazuri nikiwa nae ila naona kama yatakuwa worse... Sijui.
Kisaikolojia haishauriwi kuwa na mtazamo huu uliousema....Nimeshadate wanaume wawili
Wa kwanza aliniacha,huyu wa pili one thing for sure ni kwamba siji kumuacha labda aniache yeye... huwa sina moyo wa kuacha mtu
Wa kwanza aliniacha miaka mitatu iliyopita
UtaachwaNimeshadate wanaume wawili
Wa kwanza aliniacha,huyu wa pili one thing for sure ni kwamba siji kumuacha labda aniache yeye... huwa sina moyo wa kuacha mtu
Wa kwanza aliniacha miaka mitatu iliyopita
IKUtaachwa
Utaachwa tena
Hadi ufikishe 25 utakuwa ushaachwa sana
Kisaikolojia haishauriwi kuwa na mtazamo huu uliousema....
But all the best
Kuachwa na nani unamaanisha?Una mda gani tangu umeacha au kuachika vipi unajutia maamuzi yako au unajivunia kwa nini,mimi binafsi mabadiliko ni makubwa sana tena sana Tuuu! Yaani sijui nilichelewa wapi?
Yule wa JF umegoma kabisa kuonana nae?Nimeshadate wanaume wawili
Wa kwanza aliniacha,huyu wa pili one thing for sure ni kwamba siji kumuacha labda aniache yeye... huwa sina moyo wa kuacha mtu
Wa kwanza aliniacha miaka mitatu iliyopita
Hapo kwenye wa pili, mhhh.......Nimeshadate wanaume wawili
Wa kwanza aliniacha,huyu wa pili one thing for sure ni kwamba siji kumuacha labda aniache yeye... huwa sina moyo wa kuacha mtu
Wa kwanza aliniacha miaka mitatu iliyopita
Yule wa JF umegoma kabisa kuonana nae?
Wanaume wawili tu?!! Kwa maana ya moja mbili...!! Au hujui kuhesabu, au kuna wengine hukuwapa hadhi ya mwanaume...?! Siamini joanahNimeshadate wanaume wawili
Wa kwanza aliniacha,huyu wa pili one thing for sure ni kwamba siji kumuacha labda aniache yeye... huwa sina moyo wa kuacha mtu
Wa kwanza aliniacha miaka mitatu iliyopita
Hapo kwenye wa pili, mhhh.......
Kulwa bana, haeleweki au hujataka tu kumuelewa?Huyu wa JF haeleweki anataka nini