TAECOLTD
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 1,051
- 1,831
I've realized we jamaa ni zero brain, the only problem is husimamii hoja bali unashutumu mahala ambapo hamna palipoingizwa siasa. Kuna mahala mleta mada kaweka chama cha siasa?Na Tanzania tunataka watalii wenye hela zao sio hao malofa unaowatetea ambao ulimwambia visa dolar analilia kama chadema or too high wakati were kuingia nchi zao waweza chajiwa hata dollar Mia mbili na hutakiwi upige yowe.Kuweni wazalendo kwao wanaenda wenye hela zao na kwetu waje wenye hela zao.Mtu analalamika Kodi kubwa analalamika nini? Kyle kwao were mtoto wako ukienda kusoma mtoto wa Bilionea Billy gate ada yake ndogo mno were Toka nchi maskini Italia ada mara kumi ya ada ya mtoto wa Billy gate shule au chuo hicho hicho darasa hilo hilo na huoni chama kule kikisimama kutetea Kuwa wanafunzi wa nchi maskini walipe ada ndogo kuliko watoto wa mabilionea! Chadema bullshit hamna uzalendo mnatetea wazungu maskini kule kwao hakuna viti kama hicho hata kwa ratio zenu wajerumani wa Chama cha CDU.Chadema you are puppets
Hoja yako ingekua nzuri saaaaaana kama usingehusisha uchama, rudi kasome upya na ujue namna ya kusimamia hoja