Wadau, hebu angalieni hizi takwimu hapa chini halafu mweney kujua atujuze kwa nini mwaka 2010 umekuwa kama outlier, yaani hiyo spike sio ya kawaida, kama unachora graph itakutisha kwa jinsi inavyoshuka ghafula. Can anyome tells me kwa nini iwe hivyo, is there a need ya additional evidence ya kuwaambia NEC kuwa uchaguzi huu ulikuwa batili? na kuwa waliondoa karibu asiimia 30 ya wapiga kura. I want to believe kuwa waliojitokeza kupiga kura mwaka huu walikuwa 80% au zaidi. Loh kweli Dr Slaa aliibiwa kinyama, JK huo sio uungwana mwana
year voter turn out
1965- 77.1%
1970- 72.2%
1975- 81.7%
1980- 75%
1985- 75%
1990- 74.4%
1995- 76.7% (Mkapa won by 61.82%, Mrema got 27.7%)
2000- 84.4%(Mkapa won 71.7%, Lipumba got 16%)
2005- 72.4% (JK won by 81% , Lipumba got 11%)
2010- 42.64%(JK won by 61.17%, Dk. Slaa got 26.34%)
source of data: African elections database Elections in Tanzania
year voter turn out
1965- 77.1%
1970- 72.2%
1975- 81.7%
1980- 75%
1985- 75%
1990- 74.4%
1995- 76.7% (Mkapa won by 61.82%, Mrema got 27.7%)
2000- 84.4%(Mkapa won 71.7%, Lipumba got 16%)
2005- 72.4% (JK won by 81% , Lipumba got 11%)
2010- 42.64%(JK won by 61.17%, Dk. Slaa got 26.34%)
source of data: African elections database Elections in Tanzania