Hivi nchi hii hakuna vijana wazalendo?
Ndibalema hao vijana wazalendo ulitaka wafanye nini?
Hivi nchi hii hakuna vijana wazalendo?
Mimi sio Rais wangu kwa maana tangu anaingia madarakani sijawahi kumpigia kura.
Utabaki kumngojea mungu aliye hai aje apige kura ya no kwa ccm...? hata uyo mungu aliye hai anatuambia tujisaidie ndo atusaidie sasa kama mpaka leo kuna watu wanajua nyerere yuko madarakani huoni kunahitajika nguvu za ziada badala ya kumngojea mungu aliye hai ashuke aje apige kura...? kama kweli unauchungu na nchii yako waloge Kikwete, makamba, kingunge na mafisadi wafe gafla ndo haki itatendeka au watz watakosa wakumchagua ccm na hapo ndo labda watz wataelewa na mabadiliko ya kweli yatapatikana otherwise ni katiba ibadilishe fasta na tume pamoja na vyombo vya dola viwe huru labda ndo ita sounds..ipo siku Mungu aliye hai atayafuta machozi yetu watz.real inauma sana.jamani tuwe makini ktk kila jambo tunalolifanya.naamini kila mtu akisimama ktk nafasi yake vizuri bila uzembe taifa litanyanyuka.tutiane moyo sisi kwa sisi tutaweza
The most unpopular president ever
Kumbe Slaa hajamfikia Mrema 1995.
Hongera dr. Jk kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania. Tunakuhitaji, tunakuamini na ndio maana tukakuchagua. Wanaobeza ushindi wako wanajua fika kuwa wasingeshinda hata kwa namna gani. Mbona hawazungumzii dr. Wao makini kuweka mgombea mwenza mbumbumbu ikiwa wao ni wasomi kweli. Haya darasa la saba atawakilisha vikao gani ? Ataongoza vipi nchi ikiwa raisi hayupo au kafa?. Credential za hao wanaomtetea slaa nazitilia shaka kweli. Kiukweli hakushinda na hawezi kupewa nchi muhuni! Tuwe wakweli na tusimame kwenye ukweli. Ebo? Eti phd ? Phd ya kutembea na wake za watu?????????. Besides is his phd related to any field of management , engineering, politics ,international relation or is religious biased???.
This phd failed to work in the church, how can it work right out of it??. Is it all we need to lead the nation?
Absolutely not!!!!
DO NOT THINK TANZANIANS HAVE NO CORRECT VISION AND CANNOT FORESEE THEIR FUTURE! YOU WILL BE WRONG! ALSO ACCEPT TO BE CRITICIZED AND HAVE RESPECT TO OTHERS WAY OF THINKING. YOU WILL HAVE WISDON. THINK POSITIVELY AND SEE THINGS IN RIGHT DIRECTION. DO NOT GET BIASED, PEOPLE WILL LAUGH AT YOU.