Takwimu za maambukizi ya VVU hizi hapa , Iringa na Njombe sio sehemu salama kabisa kucheza peku

15f50ea9bdeb7c3890eb78d520e1ba41.jpg
Ndugu zangu jitahidini kuondokana na huu uchafu(mikono ya sweta) ili kupunguza maambukizi ramani inaonyesha mikoa mingi yenye mikono ya sweta inaongoza....!
 
miaka ya 1980.... hivi kagera ilikuwa inaingoza kwa maambukizi ya ukimwi sasa imeshuka.
Njombe, Iringa na mbeya imeendelea kuongoza ligi kwa muda mrefu sasa, hii ni hatari kubwa sana!!!!
Hatua za dharura zichukuliwe ili kuinusuru mikoa hiyo vinginevyo kizazi chote kitateketea kwa ukimwi.
 
Je kuna barabara kuu inapita Makete?? Malori na madereva wake weka mbali na hii kitu.
Mbeya iko juu sababu ya hali ya jewa na madereva malori nafikiri kuvika boda.
Sio kweli kwa.sababu mi nimefanya kazi ikondaa makete sio. Sehemu ya kuishi kama.madereva wa malori hata Moshi ,wapo arushaa ,kigoma sumbawanga so huwezi justify kule ni takataka tu wakinga mnisamehe
 
Hizo takwimu ni namba tu trust them not, even in Lindi (0.3%) one can more easily acquire HIV than in Njombe (11.4%)
 
Ila ngoja kwanza..
Hizi takwimu zina walakini.

Look Lindi na Mtwara kwa Geographical location ni kama mkoa mmoja ni kama kusema arusha na manyara...
Now kwa takwimu hizi inawezekanaje Lindi kuwa 0.4 na mtwara kuwa 2.0
Mtwara kuna ongezeko la wageni (miradi ya gesi na vyuo vingi vimefungua kompasi zao huko) hivyo kuna mwingiliano wa watu mkubwa kuliko Lindi.
 
Muhimu ni kuvaa viatu tuu kila mahali,usijidanganye unaenda kuchepuka Lindi eti kwakuwa %ya maambukizi ni kidogo,.hiyohiyo kidogo nayo ni % unaweza kwenda peku huyo utakae pekuana nae kumbe ni mgonjwa kitambo....tusijisahau na kujidanganya na hizi alama% afya zetu ni muhimu mnoo.
 
Back
Top Bottom