Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Mpe hongera vicheche wengi hawana ngomaKuna jamaa yangu yeye ni kicheche balaa huwa hatumiagi condom ila yupo fresh na huwa anasemaga kuwa sijawahi,wala siwezi kutumia hayo mambo kamwe
Na ktk waathirika nchi nzima, 80% ni wanawake. Hatari sana.
Nadhani wanawake wanaobaki moshi wengi hawana mvuto.moshi hoyeeeeeeeeeeee
Takwim ziko sawa kabisa. Muingiliano wa watu kwa mfano mjini Mtwara na Masasi kutaja key indicator huwezi kufananisha na Lindi Mjini au Nachingwea kwa maana hiyo. Hivyo ni sahihi kabisa.Ila ngoja kwanza..
Hizi takwimu zina walakini.
Look Lindi na Mtwara kwa Geographical location ni kama mkoa mmoja ni kama kusema arusha na manyara...
Now kwa takwimu hizi inawezekanaje Lindi kuwa 0.4 na mtwara kuwa 2.0
Kwetu waaminifu ni wengi usishangaeAiseee Lindi 0.3 duuh huko papuchi hazpo au wanaume wa huko hawatumii hichi kilevi