TAKWIMU: Nini kimepelekea Mitandao ya tiGO na Zantel kupoteza wateja na Vodacom kupanda?

Kifuatacho ITV Mkulu azipe life time hizi kampuni zingine at list two year and then afute leseni kampuni za simu za nje ili TTCL ifufuke...

Maana inatia aibu sana kwa kukosa ubunifu... Uber wamekuja majuzi wamegawa hand set kwa ma user wake ikikaa kwa mwaka mmoja kipato chake kitaizidi TTCL so why TTCL wasiwe wabunifu?
 
Tigo bundle zao ni ndogo mno.
Ukjnunua Bundle za Chuo kwa sh 1,500 Tigo wanakupa Mb 500 kwa wiki wakat Voda wanakupa Gb 2 kwa wiki

Kwanini nisihamie Voda!
 
Mbio za makapuni ya simu bana zinafurahisha sana! Nasubiri Tigo na Airtel wa list DSE!!! Then nitaelewa zaidi
 
Makampuni yenu haya ya simu taabu kwelikwel wameacha kazi ya kuakikisha wateja wao wanapata huduma iliyobora wamejiingiza kwenye udalali na wanachokisema tofauti sasa hivi mapato yao wameyahamishia kwenye mb kukimbia kama maji
 
Unaongelea hawa Vodacom waliotoa ushahidi dhidi ya Lema? Hawa ambao hawana privacy kwa wateja? Mbona wapo chalii kifo cha mende
 
Tigo n wahuni tuu, wamepunguza mfano vifurushi vya chuo, zaman walikua wanakupa 1.5GB na dk 150, asaiv 500MB na dk 80 msg ndo kbsasa, wakat voda n mwendo wa 2GB kwa dk 150, Hao halotel sikuhz WAMEKUA WEZI WA MB WAZ WAZ KBSAAA, mb 500 ukimaliza 24hrs labda km n kwaajili ya wasap na search ya vitu vdg vdg, ila ila ukiingia mfano youtube ndo bas tena, na ukilala bila kuzima data mpk asubuh mtakua mmegawana MB.
 
baadhi ya mitandao inafanya biashara kiujanjaujanja. unakuta mteja umeunganishwa kwenye huduma ambayo hukuiomba ama ulijiunga bila kukusudia na unakatwa pesa ukiwaambia wakutoe hawafanyi hivyo online mpaka uende ukapange foleni kwenye kituo chao cha huduma kwa wateja.
 
Mtandao wa tigo umekuwa ni kero sana siku hizi. Huduma ya msg tu inawashinda,unatuma msg inafika baada ya nusu saa.
 
Wakuu,

Namba hazidanganyi. Siku za nyuma tulizoea kuona mtandao wa Mobitel/Buzz/tiGO ukiwa mbele kwa idadi ya subscribers lakini siku za hivi karibuni hali imekuwa tofauti kabisa.

1ed4a781c0ae9f335a45955a0ec9c4a2.jpg

25301042f98b6204d234e1b01afbd141.jpg


Kwa mujibu wa TCRA, hali inaonekana kuwa si nzuri kwa wateja wa mtandao huo imeshuka tofauti na Wenzao Vodacom ambao wanaonekana kufanya vyema upande huu.

Je, ni mdororo wa kiuchumi?

Je, ni mabadiliko ya kiteknolojia na usikivu wa mawasiliano?

Je, ni huduma mbovu zinazopelekea wateja kuhamia mitandao mingine wakitafuta kilicho bora?

Je, siku za nyuma walikuwa wakidanganya juu ya idadi ya subscribers wao na sasa wanalazimika kutoa figure sahihi?

Au ni gharama kupanda na kupelekea wateja kuukimbia mtandao?
nacheka na TAFITI ZA KIBONGO ; WATANZANIA TUPO MILIONI 35; LAKINI LINE ZA SIMU ZIMETUZIDI??
SWALI ACTIVE LINE NI IPI?
U MPAKA PRORMOTION NDO MTU ANAACTIVATE SIMU
 
Wakuu,

Namba hazidanganyi. Siku za nyuma tulizoea kuona mtandao wa Mobitel/Buzz/tiGO ukiwa mbele kwa idadi ya subscribers lakini siku za hivi karibuni hali imekuwa tofauti kabisa.

1ed4a781c0ae9f335a45955a0ec9c4a2.jpg

25301042f98b6204d234e1b01afbd141.jpg


Kwa mujibu wa TCRA, hali inaonekana kuwa si nzuri kwa wateja wa mtandao huo imeshuka tofauti na Wenzao Vodacom ambao wanaonekana kufanya vyema upande huu.

Je, ni mdororo wa kiuchumi?

Je, ni mabadiliko ya kiteknolojia na usikivu wa mawasiliano?

Je, ni huduma mbovu zinazopelekea wateja kuhamia mitandao mingine wakitafuta kilicho bora?

Je, siku za nyuma walikuwa wakidanganya juu ya idadi ya subscribers wao na sasa wanalazimika kutoa figure sahihi?

Au ni gharama kupanda na kupelekea wateja kuukimbia mtandao?

Mobile telecom market is currently saturated. New sim card registration is very slow, and sim cards active subscribers for new registration is very low as those registering already have their old numbers
 
ukiona hivyo ujue wateja wao by then wanafunzi either wamerudi kijijini kulima kwa kukosa ajira mjimi kumbuka huu ni mtandao pendwa kwa wanafunzi wa vyuo
Wanafunzi tushahamia voda maans wametukatili kwenye muda was maongezi university offer
 
Back
Top Bottom