Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Mnamo Oktoba mwaka 2014, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ilitangaza ongezeko la idadi ya kata, vijiji, mitaa na vitongoji nchini vilivyotumika kwa ajili ya uchaguzi serikali za mitaa.
Ongezeko hilo lilidaiwa kufanywa kwa kuzingatia idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na kupanuka kwa maeneo baada ya watu kujisajili.
Kata kwa nchi nzima ziliongezwa kutoka 2,802 mwaka 2009 hadi 3,337, vijiji vikaongezeka kutoka 11,795 hadi 12,423 na mitaa ilitoka 2,995 hadi 3,741 huku vitongoji vikiongezeka kutoka 60,359 hadi 64,616.
Tutarajie ongezeko zaidi 2019 kabla ya uchaguzi?
Ongezeko hilo lilidaiwa kufanywa kwa kuzingatia idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na kupanuka kwa maeneo baada ya watu kujisajili.
Kata kwa nchi nzima ziliongezwa kutoka 2,802 mwaka 2009 hadi 3,337, vijiji vikaongezeka kutoka 11,795 hadi 12,423 na mitaa ilitoka 2,995 hadi 3,741 huku vitongoji vikiongezeka kutoka 60,359 hadi 64,616.
Tutarajie ongezeko zaidi 2019 kabla ya uchaguzi?