Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Takukuru yautupa ushahidi wa video wa wabunge wa Chadema, Joshua Nassari na Godbless Lema ukiwaonyesha madiwani wa chama hicho waliohamia CCM wakihongwa rushwa, kwa madai kuwa wabunge hao waliharibu uchunguzi baada ya kuingiza siasa katika jambo hilo.
===============
TAKUKURU imesema haiwezi kuendelea na uchunguzi wa madai ya rushwa yaliyoletwa na wabunge wa CHADEMA, Joshua Nassari na Godbless Lema kuwa madiwani waliohamia CCM walipewa rushwa
- Imeeleza wabunge hao waliingilia uchunguzi na kuuvuruga ila hawawezi kusema ni jambo gani walivuruga kwa sababu mambo mengine ni ya kiuchunguzi
===============
TAKUKURU imesema haiwezi kuendelea na uchunguzi wa madai ya rushwa yaliyoletwa na wabunge wa CHADEMA, Joshua Nassari na Godbless Lema kuwa madiwani waliohamia CCM walipewa rushwa
- Imeeleza wabunge hao waliingilia uchunguzi na kuuvuruga ila hawawezi kusema ni jambo gani walivuruga kwa sababu mambo mengine ni ya kiuchunguzi