johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,803
TAKUKURU wameokoa zaidi ya sh bilioni 12 zilizokuwa zilipwe kwa mkandarasi anayenga stendi kuu ya mabasi ya mikoani. Fedha hizo zilikuwa zilipwe kwa kazi ambayo haikufanyika
Ujenzi wa stendi hiyo ulianza wakati halmashauri ya jiji la DSM inaongozwa na CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Ujenzi wa stendi hiyo ulianza wakati halmashauri ya jiji la DSM inaongozwa na CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!