Mzee wa Usafi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 644
- 292
Mambo ya CCM kutumia fedha kwa kujipatia uongozi yanaendelea kujidhihirisha. Kwa sasa PCCB ina mshikilia Mh.Mrema na mabalozi kadhaa kwa tuhuma za rushwa.....nitawaletea habari kamili baadaye kwani mpaka sasa bado wanahojiwa.