June 2, 2020
Dar -es-Salaam, Tanzania
TAKUKURU : TAARIFA KWA UMMA
Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Inamshikilia aliyekuwa Bosi Mkuu wa Bohari ya Madawa Nchini (MSD) kisha kutumbuliwa Bw. Laurian Bwanakunu kwa tuhuma za rushwa na kuisababishia Serikali hasara.
Pia Kaimu Mkurugenzi wa Lojistiki wa MSD, Byekwaso Tabura anashikiliwa na TAKUKURU kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara.
Dar -es-Salaam, Tanzania
TAKUKURU : TAARIFA KWA UMMA
Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Inamshikilia aliyekuwa Bosi Mkuu wa Bohari ya Madawa Nchini (MSD) kisha kutumbuliwa Bw. Laurian Bwanakunu kwa tuhuma za rushwa na kuisababishia Serikali hasara.
Pia Kaimu Mkurugenzi wa Lojistiki wa MSD, Byekwaso Tabura anashikiliwa na TAKUKURU kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara.