TAKUKURU yakumbwa na kashfa ya rushwa katika utoaji ajira

Mwaka Jana mtihani wa Utumishi ulivuja, gazeti la Jamhuri likaandika hiyo habari, Utumishi wanahojiwa wanasema hakuna aliyeripoti kuvuja mtihani na wanaendelea kusahisha cha ajabu wakafuta matokeo kimya kimya.
Kuna mtihani tumefanya mwezi uliopita wa self microfinance, ilinishangaza sana.nikajiuliza wanawezaje kusahihisha mitihani ya watu 1500 kwa muda wa masaa 10 tu na waka apload na matokeo yao kabisa.ila nikagundua kuna mchezo mchafu huwa unafanyika pale.
 
Kuna mtihani tumefanya mwezi uliopita wa self microfinance, ilinishangaza sana.nikajiuliza wanawezaje kusahihisha mitihani ya watu 1500 kwa muda wa masaa 10 tu na waka apload na matokeo yao kabisa.ila nikagundua kuna mchezo mchafu huwa unafanyika pale.
Watu 1500 ni wachache sana Mkuu, hapo wanasahihisha na kutoa majibu faster.
 
TAKUKURU walitangaza ajira nafasi mbalimbali ikiwemo nafasi za "WACHUNGUZI WASAIDIZI" .Hatua ya kwanza watu waliomba wakajaza taarifa kwenye mfumo na kuambatanisha nyaraka zote zilizohitajika.

Hatua ya pili kuna walioitwa kwenda kwenye usahili wa maandishi (Written Interview), Orodha ya majina ilitoka wakaitwa huko Dodoma chuo cha Mipango na Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) tar 08/Januari 2022.

Hatua ya tatu ,waliopita hatua ya pili ya Usahili wa maandishi (Written Interview) waliitwa kwenye hatua ya tatu ya Usahili wa kuongea (Oral Interview) ambao ulifanyika Kuanzia tar 1 Machi hadi tar 18 Machi 2022 huko Dodoma (Nane nane ). Na Orodha ya walioitwa kwenye Oral Interview iliwekwa wazi .

Sasa kuna changamoto mbili ambazo zinaleta ukakasi sana katika huu mchakato wa ajira ,ambapo TAKUKURU wanapaswa kutoa ufafanuzi wa kutosha sababu kuna viashiria vya Rushwa hasa Upendeleo (Nepotism) , mjuano au hongo ili kuwapa watu nafasi ya ajira jambo ambalo linatengeneza taswira mbaya kwa TAKUKURU.

1. Kuna documents mbili zenye orodha ya majina ya watu walioitwa kwenye Usahili wa maandishi (Written Interview) na Usahili wa kuongea (Oral Interview) , Usahili wa maandishi ndio ulianza baadaye ukafuata usahili wa kuongea (Oral Interview) . Jambo la kushangaza kuna majina ambayo katika orodha ya usahili wa maandishi ulioanza hayakuwepo ila usahili uliofuata wa Oral Interview yapo. Yametokea wapi majina hayo?.

Mfano ,Jina la "Sadick Msabaha Komba " hili jina ni miongoni mwa majina ambayo katika hatua ya awali ya Written Interview halikuwepo katika orodha ya walioitwa ila katika hatua iliyofuata ya walioitwa Oral Interview ambayo ni hatua ya pili baada ya hatua ya Written Interview lilikuwepo.

2. Changamoto nyingine, baada ya Oral Interview , hakuna orodha ya majina ya watu waliopita katika Oral Interview zaidi kuna hiyo taarifa ya TAKUKURU waliyoitoa "Tangazo la kuitwa kwenye Mafunzo ya awali ya Uchunguzi". Wakisema waliopita Oral Interview watatumiwa taarifa kwa njia ya Emails.

Kwanini orodha isiwe wazi ? .Zinatolewa sababu eti ni siri hawapaswi kujulikana kwa sababu wanaenda kuwa ma afisa wa TAKUKURU sio kweli ni njia ya kupachika watu wao.

Kwanini mtu aliingizwa hatua ya Oral Interview ikiwa hakuwepo hatua ya Written Interview,? .

kwa logical Argument ya Syllogism , kupitia Proposition, inferences na conclusion ni wazi mchakato uliharibiwa ,kwani kuna viashiria vyote watu wengi waliotumiwa emails sio waliopita hatua ya Oral Interview .

Ndio maana hata majina ya waliopita katika Oral Interview hayajawekwa wazi. Hoja ya kusema hao watu ni siri hawapaswi kujulikana sababu ya majukumu yao ya kichunguzi ni hoja nyepesi inayotumiwa kuchomeka watu wao.

Uwazi ni jambo muhimu sana katika kupambana na Rushwa na TAKUKURU ilipaswa kuonesha uwazi katika mchakato wote wa utolewaji ajira .Watu wengi wanalalamika kwamba kulikuwa na mambo yasio fuata taratibu (Irregularities) katika mchakato wa usahili wa kazi .

Wengi waliokwenda kwenye hatua ya Oral Interview hawajapata hizo emails na hata marafiki zao walioshiriki pia hawajapata hizo emails, Swali hizo emails za kuitwa kwenye Mafunzo ya awali ya Uchunguzi ametumiwa nani ?.

Kuna haja suala hili mamlaka wakaliangalia kwani linaacha dosari kwa taasisi nyeti ya kupinga rushwa na yenyewe kuhusishwa na Rushwa .

Abdul Nondo .View attachment 2184085View attachment 2184086View attachment 2184089
Hio eti ndo law enforcement ya kupambana na rushwa..........ni vichekesho kwa kweli
 
TAKUKURU walitangaza ajira nafasi mbalimbali ikiwemo nafasi za "WACHUNGUZI WASAIDIZI" .Hatua ya kwanza watu waliomba wakajaza taarifa kwenye mfumo na kuambatanisha nyaraka zote zilizohitajika.

Hatua ya pili kuna walioitwa kwenda kwenye usahili wa maandishi (Written Interview), Orodha ya majina ilitoka wakaitwa huko Dodoma chuo cha Mipango na Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) tar 08/Januari 2022.

Hatua ya tatu ,waliopita hatua ya pili ya Usahili wa maandishi (Written Interview) waliitwa kwenye hatua ya tatu ya Usahili wa kuongea (Oral Interview) ambao ulifanyika Kuanzia tar 1 Machi hadi tar 18 Machi 2022 huko Dodoma (Nane nane ). Na Orodha ya walioitwa kwenye Oral Interview iliwekwa wazi .

Sasa kuna changamoto mbili ambazo zinaleta ukakasi sana katika huu mchakato wa ajira ,ambapo TAKUKURU wanapaswa kutoa ufafanuzi wa kutosha sababu kuna viashiria vya Rushwa hasa Upendeleo (Nepotism) , mjuano au hongo ili kuwapa watu nafasi ya ajira jambo ambalo linatengeneza taswira mbaya kwa TAKUKURU.

1. Kuna documents mbili zenye orodha ya majina ya watu walioitwa kwenye Usahili wa maandishi (Written Interview) na Usahili wa kuongea (Oral Interview) , Usahili wa maandishi ndio ulianza baadaye ukafuata usahili wa kuongea (Oral Interview) . Jambo la kushangaza kuna majina ambayo katika orodha ya usahili wa maandishi ulioanza hayakuwepo ila usahili uliofuata wa Oral Interview yapo. Yametokea wapi majina hayo?.

Mfano ,Jina la "Sadick Msabaha Komba " hili jina ni miongoni mwa majina ambayo katika hatua ya awali ya Written Interview halikuwepo katika orodha ya walioitwa ila katika hatua iliyofuata ya walioitwa Oral Interview ambayo ni hatua ya pili baada ya hatua ya Written Interview lilikuwepo.

2. Changamoto nyingine, baada ya Oral Interview , hakuna orodha ya majina ya watu waliopita katika Oral Interview zaidi kuna hiyo taarifa ya TAKUKURU waliyoitoa "Tangazo la kuitwa kwenye Mafunzo ya awali ya Uchunguzi". Wakisema waliopita Oral Interview watatumiwa taarifa kwa njia ya Emails.

Kwanini orodha isiwe wazi ? .Zinatolewa sababu eti ni siri hawapaswi kujulikana kwa sababu wanaenda kuwa ma afisa wa TAKUKURU sio kweli ni njia ya kupachika watu wao.

Kwanini mtu aliingizwa hatua ya Oral Interview ikiwa hakuwepo hatua ya Written Interview,? .

kwa logical Argument ya Syllogism , kupitia Proposition, inferences na conclusion ni wazi mchakato uliharibiwa ,kwani kuna viashiria vyote watu wengi waliotumiwa emails sio waliopita hatua ya Oral Interview .

Ndio maana hata majina ya waliopita katika Oral Interview hayajawekwa wazi. Hoja ya kusema hao watu ni siri hawapaswi kujulikana sababu ya majukumu yao ya kichunguzi ni hoja nyepesi inayotumiwa kuchomeka watu wao.

Uwazi ni jambo muhimu sana katika kupambana na Rushwa na TAKUKURU ilipaswa kuonesha uwazi katika mchakato wote wa utolewaji ajira .Watu wengi wanalalamika kwamba kulikuwa na mambo yasio fuata taratibu (Irregularities) katika mchakato wa usahili wa kazi .

Wengi waliokwenda kwenye hatua ya Oral Interview hawajapata hizo emails na hata marafiki zao walioshiriki pia hawajapata hizo emails, Swali hizo emails za kuitwa kwenye Mafunzo ya awali ya Uchunguzi ametumiwa nani ?.

Kuna haja suala hili mamlaka wakaliangalia kwani linaacha dosari kwa taasisi nyeti ya kupinga rushwa na yenyewe kuhusishwa na Rushwa .

Abdul Nondo .View attachment 2184085View attachment 2184086View attachment 2184089
Ila bongo😅
Enewei pengine twende mwitongo labda kukusanya blessings kwa Baba wa Taifa.
 
Kuna mtihani tumefanya mwezi uliopita wa self microfinance, ilinishangaza sana.nikajiuliza wanawezaje kusahihisha mitihani ya watu 1500 kwa muda wa masaa 10 tu na waka apload na matokeo yao kabisa.ila nikagundua kuna mchezo mchafu huwa unafanyika pale.
Let's do the simple Math.

Tu assume;

1. Mtihani una maswali 50 ya multiple choice (mitihani yao mingi inakua hivi), right?

2. Wapo 10 na wana haraka ya kumaliza kusahihisha watoe majibu ndani ya masaa 24.

3. Watatumia sekunde 3 kwa kila swali.

Here we go,

Kila swali wanatumia sekunde 3 kusahihisha, means wanatumia 3sec X 50qns = 150sec ~ 2.5 min (Kwaiyo zitatumika kama dk ~3 kusahihisha mtihani mmoja)

3min X 1500 pprs = 4,500 min ~ 75 hrs (Yatatumika masaa 75 kumaliza kusahihisha mitihani yote kama ni mtu mmoja atafanya hivyo)

Since tume assume wapo 10; means 75hrs/10 = 7.5 hrs (Kwaiyo yatahitajika masaa kama 8 tu kumaliza mitihani yote 1500)

Ila kuna muda huwa unapotea kwenye kuongea kidgo, au kwenda chooni, au kula au kupumzika dk mbili tatu. So tufanye masaa mawili yatapotea 2+8 = 10hrs

Kwaiyo mitihani 1500 inawezekana kabisa kumaliza kusahihishwa kwa masaa 10 endapo hizo conditions hapo juu zikiwa sawa!

Hoja labda iwe wanasahihisha hovyo lakini kuhusu huo muda kwangu naona una logic kabisa!
 
TAKUKURU walitangaza ajira nafasi mbalimbali ikiwemo nafasi za "WACHUNGUZI WASAIDIZI" .Hatua ya kwanza watu waliomba wakajaza taarifa kwenye mfumo na kuambatanisha nyaraka zote zilizohitajika.

Hatua ya pili kuna walioitwa kwenda kwenye usahili wa maandishi (Written Interview), Orodha ya majina ilitoka wakaitwa huko Dodoma chuo cha Mipango na Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) tar 08/Januari 2022.

Hatua ya tatu ,waliopita hatua ya pili ya Usahili wa maandishi (Written Interview) waliitwa kwenye hatua ya tatu ya Usahili wa kuongea (Oral Interview) ambao ulifanyika Kuanzia tar 1 Machi hadi tar 18 Machi 2022 huko Dodoma (Nane nane ). Na Orodha ya walioitwa kwenye Oral Interview iliwekwa wazi .

Sasa kuna changamoto mbili ambazo zinaleta ukakasi sana katika huu mchakato wa ajira ,ambapo TAKUKURU wanapaswa kutoa ufafanuzi wa kutosha sababu kuna viashiria vya Rushwa hasa Upendeleo (Nepotism) , mjuano au hongo ili kuwapa watu nafasi ya ajira jambo ambalo linatengeneza taswira mbaya kwa TAKUKURU.

1. Kuna documents mbili zenye orodha ya majina ya watu walioitwa kwenye Usahili wa maandishi (Written Interview) na Usahili wa kuongea (Oral Interview) , Usahili wa maandishi ndio ulianza baadaye ukafuata usahili wa kuongea (Oral Interview) . Jambo la kushangaza kuna majina ambayo katika orodha ya usahili wa maandishi ulioanza hayakuwepo ila usahili uliofuata wa Oral Interview yapo. Yametokea wapi majina hayo?.

Mfano ,Jina la "Sadick Msabaha Komba " hili jina ni miongoni mwa majina ambayo katika hatua ya awali ya Written Interview halikuwepo katika orodha ya walioitwa ila katika hatua iliyofuata ya walioitwa Oral Interview ambayo ni hatua ya pili baada ya hatua ya Written Interview lilikuwepo.

2. Changamoto nyingine, baada ya Oral Interview , hakuna orodha ya majina ya watu waliopita katika Oral Interview zaidi kuna hiyo taarifa ya TAKUKURU waliyoitoa "Tangazo la kuitwa kwenye Mafunzo ya awali ya Uchunguzi". Wakisema waliopita Oral Interview watatumiwa taarifa kwa njia ya Emails.

Kwanini orodha isiwe wazi ? .Zinatolewa sababu eti ni siri hawapaswi kujulikana kwa sababu wanaenda kuwa ma afisa wa TAKUKURU sio kweli ni njia ya kupachika watu wao.

Kwanini mtu aliingizwa hatua ya Oral Interview ikiwa hakuwepo hatua ya Written Interview,? .

kwa logical Argument ya Syllogism , kupitia Proposition, inferences na conclusion ni wazi mchakato uliharibiwa ,kwani kuna viashiria vyote watu wengi waliotumiwa emails sio waliopita hatua ya Oral Interview .

Ndio maana hata majina ya waliopita katika Oral Interview hayajawekwa wazi. Hoja ya kusema hao watu ni siri hawapaswi kujulikana sababu ya majukumu yao ya kichunguzi ni hoja nyepesi inayotumiwa kuchomeka watu wao.

Uwazi ni jambo muhimu sana katika kupambana na Rushwa na TAKUKURU ilipaswa kuonesha uwazi katika mchakato wote wa utolewaji ajira .Watu wengi wanalalamika kwamba kulikuwa na mambo yasio fuata taratibu (Irregularities) katika mchakato wa usahili wa kazi .

Wengi waliokwenda kwenye hatua ya Oral Interview hawajapata hizo emails na hata marafiki zao walioshiriki pia hawajapata hizo emails, Swali hizo emails za kuitwa kwenye Mafunzo ya awali ya Uchunguzi ametumiwa nani ?.

Kuna haja suala hili mamlaka wakaliangalia kwani linaacha dosari kwa taasisi nyeti ya kupinga rushwa na yenyewe kuhusishwa na Rushwa .

Abdul Nondo .View attachment 2184085View attachment 2184086View attachment 2184089
TAKUKURU Njooni Jf kuna hoja ya msingi inahitajika majibu.
 
Back
Top Bottom