Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,560
Kwani unajuaje kama hakua na mishe nyingine ?Cheo Cha Mkuu wa wilaya kwa mshahara wa mil.4.1
Hawez kumudu kiwanja Cha mil.120
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanalima watu wana mashamba ya miti nk