TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Kudadeki watulie sindano iingie walitaka wenyewe .chama hiki kimejaa rushwa sana rushwa ya ngono na rushwa ya vyeo na rushwa ya pesa
Umesoma ulichoandika? Majungu tu na umbeya. Rushwa ya ngono walikuomba wewe? Mtu mzima hovyo!
 
Unamsikiliza lijuakali, very low IQ yule..
Uko sahihi, tatizo ni mbowe na ile fukuza fukuza yake. Nimemsikiliza Lijualikali akisema jinsi CHADEMA walivyokwepa kodi kwa udanganyifu wa kutumia misamaha ya wabunge. Siri za aina hiyo zinapokuwa wazi kipindi hiki ni tatizo.

Lakini pia Duniani kote, uchaguzi huwa ndo njia ya kuibua skandali zote!! Hata US ndo msimu wa kuibuka waliotongozwa na kuibiwa, nk.
 
Huu sio ukaguzi.. hui ni uvamizi na kutaka kuifuta chadema.
Chadema sasa hamueleweki ujue, unapopinga ukaguzi huu, maana yake mnabariki ya kina waitara na Lijualikali kwamba ni kweli yanatendeka

Sasa tuambieni tujue moja, mnakaguliwaaa hamkaguliwi?

Halafu ni kama hamna huruma na M/kit wenu mjue, hizi tuhuma zooote hizi zinazomwendea mnadhani yeye ana moyo wa chuma?

Acheni aondokane na uzushi huo bhana!!!

Takukuru, pekenyeni mpaka chumbani huko
 
Wasaidizi wa Meko amefanya vikao na maazimio ya siri na viongozi wote waliohama Chadema akiwemo Mashinji ma Waitara na wameazimia yafuatayo;

Wanasheria wa TISS wametoa maelekezo kwa Msajili wa vyama kutafuta mwanya wa kuifuta CHADEMA mara baada ya kumaliza

mahojiano yao na kutoa tamko kuwa kuna matumizi mabaya ya fedha nakatiba kuruhusu kukatwa mishahara yao ni ukiukwaji wa uhuru wao na wanalazimishwa

Kikao cha mwisho last week kati ya Meko na wasaidizi wake akiwemo yule aliyekufa kimeazimia hivyo

CHADEMA kaeni mguu upande!!
 
Wasaidizi wa Meko amefanya vikao na maazimio ya siri na viongozi wote waliohama Chadema akiwemo Mashinji ma Waitara na wameazimia yafuatayo;

Wanasheria wa TISS wametoa maelekezo kwa Msajili wa vyama kutafuta mwanya wa kuifuta CHADEMA mara baada ya kumaliza

mahojiano yao na kutoa tamko kuwa kuna matumizi mabaya ya fedha nakatiba kuruhusu kukatwa mishahara yao ni ukiukwaji wa uhuru wao na wanalazimishwa

Kikao cha mwisho last week kati ya Meko na wasaidizi wake akiwemo yule aliyekufa kimeazimia hivyo

CHADEMA kaeni mguu upande!!
Mbowe arudishe zile bilioni nane na shilingi milioni 400 alizochukua .Acheni.kutapatapa humu
 
Wasaidizi wa Meko amefanya vikao na maazimio ya siri na viongozi wote waliohama Chadema akiwemo Mashinji ma Waitara na wameazimia yafuatayo;

Wanasheria wa TISS wametoa maelekezo kwa Msajili wa vyama kutafuta mwanya wa kuifuta CHADEMA mara baada ya kumaliza

mahojiano yao na kutoa tamko kuwa kuna matumizi mabaya ya fedha nakatiba kuruhusu kukatwa mishahara yao ni ukiukwaji wa uhuru wao na wanalazimishwa

Kikao cha mwisho last week kati ya Meko na wasaidizi wake akiwemo yule aliyekufa kimeazimia hivyo

CHADEMA kaeni mguu upande!!
Uzi tayari.
Ndio maana nimekuwa mvivu sana kuingia jf.
Jukwaa la siasa nowdays ni kama jukwaa la MMU
 
Hii habari kama ni kweli basi ni sawa na kulima bustani ya mchicha kwa kutumia bludoza/katapila.
Kwa hali ilioko kwa sasa ndani ya CHADEMA kupambana nayo hakuhitaji nguvu kubwa ya kiasi hicho.Yaani vyombo vyote vya dola vinashiriki kwenye mapambano
 
Ukimaanisha weledi wa CAG ni wa kutilia shaka, kwamba wanaweza danganywa kirahisi?
Rushwa waweza kuwa walihongwa.Mbowe kabeba bilioni nane atashindwa kumhonga CAG atoe ripoti nzuri? Tusubiri ripoti ya Takukuru tutazijua mbivu na mbichi
 
Hii habari kama ni kweli basi ni sawa na kulima bustani ya mchicha kwa kutumia bludoza/katapila.
Kwa hali ilioko kwa sasa ndani ya CHADEMA kupambana nayo hakuhitaji nguvu kubwa ya kiasi hicho.Yaani vyombo vyote vya dola vinashiriki kwenye mapambano
Chadema ni mamilioni ya watu sio hao wabunge unaowaona wenye dola ndio wanajua nguvu yake ndio maana hawalali wanaihujumu.
 
Back
Top Bottom