Kila mtu Ana kitengo chakeAsilimia kubwa kwenye Hilo kundi wanatoka Kilimanjaro aisee
Sababu hela zilipigwa kwenye Ofisi ya BashiteAisee halafu ni hilo swala la TFF naona limeisha kimya kimya tu mkuu.
Piga rushwa kubwa uwe salama.Ma-tamthilia yanaendelea, huwa nasikitika sana nikikumbuka ishu ya yule askari aliyefukuzwa kazi baada ya video yake akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa daladala kusambaa.
Nasikitika Kwasababu alitolewa kafara wakati kuna watu wanapiga mipunga mizito inayoadhiri karibia kila MTANZANIA.
Hivi wale waliopunguza gawio la SERIKALI kwenye madini wako wapi?...
Haaaahaaaaaa....acha ufala mkuuHapo ndipo ma-jobless kama mimi hua tunafarijika kama vile tutafaidika na chochote kwenye inshu hio.
Shomile orKila mtu Ana kitengo chake
Unawajua mabingwa wa kufoji dokomaaa?
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hahahah taarifa kama zinatufariji hatari mkuuHaaaahaaaaaa....acha ufala mkuu
Hahah afu Karia akabebeshwa lawama,msomali Jasho la meno lilikua linamtoka.Sababu hela zilipigwa kwenye Ofisi ya Bashite
kwahio ilitaka huyu askari aachwe. mbona unashindwa ku reason. kutokamatwa kwa wengine hakumfanyi huyo asksri kuachwaMa-tamthilia yanaendelea, huwa nasikitika sana nikikumbuka ishu ya yule askari aliyefukuzwa kazi baada ya video yake akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa daladala kusambaa.
Nasikitika Kwasababu alitolewa kafara wakati kuna watu wanapiga mipunga mizito inayoadhiri karibia kila MTANZANIA.
Hivi wale waliopunguza gawio la SERIKALI kwenye madini wako wapi?
Wale waliomsafirisha Twiga mpaka Uarabuni, je?
Lugumi naye alipotelea wapi?
Yule mkubwa na zile pesa za pembejeo?!
HUU MSUMENO WA TAKUKURU UKO UPANDE MMOJA TU?
Leo mko Kasi kwa CHADEMA wakati masoo kibao mmeyalia ganzi?
Elf 2 kwa nesi au daktari au askari anapoteza ajira na jela inamsubiri wakati kuna watu WALITIA SAINI MIKATABA MIBOVU YENYE HARUFU YA RUSHWA LEO BADO WAPO NA VYEO BUNGENI.
NB:
SITETEI KUPOKEA WALA KUTOA RUSHWA YA AINA WALA KIASI CHOCHOTE BALI HAYA NI MAWAZO YANGU YA RUSHWA INAVYOSHUGHULIKIWA HAPA KWETU TZ.
Mkuu bora tulime tupambane na tembo na mvua na jua..Hapo ndipo ma-jobless kama mimi hua tunafarijika kama vile tutafaidika na chochote kwenye inshu hio.
Double standard mkuuJF siku hizi raha sana! Enzi zile hapa watu wangekuwa wanaweka vidokezo kuhusu "uhusika" wa watuhumiwa! Sasa hivi tunaponda tu, hii inaweza dalili ya kuwa tumegundua kuwa hela za mafisadi zilikuwa zinafanya maisha yetu kuwa "mepesi" nawaza tu wakuu!