Tanzania nchi ya usanii na kudanganyana. Nani angeamini kuwa TAKUKURU ingekuja na kamba kuwa itawachunguza mawaziri watuhumiwa wa ripoti ya CAG.
Hivi Takukuru walikuwa wapi wakati wote huu au wanatafuta kuwatoa chochote kitu? Je Takukuru licha ya kupaswa kuvunjwa ina udhu wa kumchunguza mtu tena kigogo wa CCM na serikali? Nani anamdanganya nani?
Vyombo vya habari vilimnukuu mkurugenzi wa Takukuru Edward Hosea akisema, "Sheria inatutaka tufanye uchunguzi wa tuhuma zozote na katika hili, CAG alitakiwa atupe taarifa. Lakini sisi baada ya kusikia bungeni tulimwandikia barua (CAG) kumwomba atupatie ripoti ya mambo yanayotuhusu tuanze kuyashughulikia haraka
Bora Mpoki ana maana kuliko huyo Dr E.H (Phd)Hii si ndio TAKOKURU iliyosema Richmond ilikuwa clean. It is useless.
Italeta maana kama atamchunguza CAG, maana taarifa zote zimefanyiwa uchunguzi wa kitaalam na CAGTanzania nayo! Huyu mbabaishaji anayeitwa Dr. Hosea sijui imemuokotea wapi. Si mpinga rushwa...ni mfadhili wa wala rushwa. Hakustahili kabisa kuiongoza PCCB
Hii si ndio TAKOKURU iliyosema Richmond ilikuwa clean. It is useless.
Takukuru nadhani ni joka la kibisa!! halina maana kabsaa
Tanzania nchi ya usanii na kudanganyana. Nani angeamini kuwa TAKUKURU ingekuja na kamba kuwa itawachunguza mawaziri watuhumiwa wa ripoti ya CAG.
Hivi Takukuru walikuwa wapi wakati wote huu au wanatafuta kuwatoa chochote kitu? Je Takukuru licha ya kupaswa kuvunjwa ina udhu wa kumchunguza mtu tena kigogo wa CCM na serikali? Nani anamdanganya nani?
Vyombo vya habari vilimnukuu mkurugenzi wa Takukuru Edward Hosea akisema, Sheria inatutaka tufanye uchunguzi wa tuhuma zozote na katika hili, CAG alitakiwa atupe taarifa. Lakini sisi baada ya kusikia bungeni tulimwandikia barua (CAG) kumwomba atupatie ripoti ya mambo yanayotuhusu tuanze kuyashughulikia haraka