Nafikiri umechanganya ni Mwanajeshihawa nao wameanza na mpya, au kwa vile bosi wao alikuwa polisi kaanza kuleta za kipolisi za kutangaza atakayempata atapewa zawadi?
namaanisha mlowola, mwanajeshi si ni makamu wake? auNafikiri umechanganya ni Mwanajeshi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wametangaza kumtafuta Beatus Malima ambaye ni mhadhiri wa Chuo Kikuu kitengo cha sheria na pia ni wakili wa kujitegemea katika kampuni ya mawakili ya Mawalla iliyopo Dar kwa tuhuma mbalimbali zinazohusiana na rushwa
Afisa Uhusiano wa TAKUKURU, Musa Misalaba amesema mwanzo walikuwa wakimhoji na akawa anatoa ushirikiano lakini baada ya muda akawa hatoi tena, atakayefanikisha kukamatwa kwake atapewa zawadi
Chanzo: Millard Ayo