sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Sianzi na longo longo kabisa na siitaji kuanza nazo katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi lazima tukubali kuanza na longo longo tunatakiwa kwenda, moja la moja.
Nimesoma Gazeti la Mwananchi siku ya leo hakika nimeshangaa sana kuona eti Takukuru wamewachia wale wagombea walio shutumiwa kwa kutoa Rushwa kwa kamati kuu ya CCM itoe maamuzi ili jambo limenishangaza sanaa sikulitegemea kabsa.
Watuhumiwa tangu lini wakarudishwa ccm tena badala kupandishwa kizumbani?
Niwaombe Takukuru walioshutumiwa wote wsfikishwe kwenye vyombo vya dora hakuna namna.
Nimesoma Gazeti la Mwananchi siku ya leo hakika nimeshangaa sana kuona eti Takukuru wamewachia wale wagombea walio shutumiwa kwa kutoa Rushwa kwa kamati kuu ya CCM itoe maamuzi ili jambo limenishangaza sanaa sikulitegemea kabsa.
Watuhumiwa tangu lini wakarudishwa ccm tena badala kupandishwa kizumbani?
Niwaombe Takukuru walioshutumiwa wote wsfikishwe kwenye vyombo vya dora hakuna namna.