TAKUKURU wachunguze mkataba tata kati ya Mahindra Tech na TANESCO. Huenda kuna harufu kubwa ya ufisadi

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,087
6,568
Kwa taifa masikini kama Tanzania ambalo raia wake maskini wanakamuliwa kodi na tozo za kila aina kuingia mkataba wa bil 60+ ili kukodi software ya gharama ya bil 60+ ili hali wanafunzi hawana madarasa, maji ya uhakika, umeme na hata makazi mazuri ni kukosa busara.

Hivi kweli Tanesco wanahitaji software kama hii kwa wakati huu? Ok kama wanauhitaji ndio kusema hakuna watanzania waliosoma Computer science?

Je, ndio gharama kubwa namna hii.

Kukodi Software kama kwa gharama kubwa ni dalili kubwa kuwa kuna ufisadi mkubwa. Maana bil 60+ kwa taifa letu masikini ni pesa nyingi ambazo zingetumika.

Kuhusu mkataba, soma: TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M
 
Kuna shida mahali otherwise wabongo wapewe hiyo kandarasi. Bilioni 69 ni nyingi sana, kwani hiyo software ndo itakuwa suluhu ya umeme kukatika kabisa?
 
Chief: haya mambo ya kitalaam kabla ya kuandika ni vyema kwanza ukafanya uchunguzi na kujiridhisha. Siwatetei wahusika lakini concern yangu ipo hapa, binafsi nafahamu zipo software duniani zinauzwa duniani kwa gharama kubwa kwa ajili ya kuendesha na kucontrol mifumo tofauti tofauti.

Tanesco kama shirika kubwa lenye mitambo miiingi inayohitaji maintenance na spareparts na controlling kwa ujumla ili iwe na ufanisi unahitaji mifumo ya kisasa uweze kufanya controlling ya mitambo na spareparts na watu wako ili upate performance nzuri. Hivi vitu vinahitaji utalaam wa hali ya juu na watalaam wabobezi sio blah blah.
 
Kuna shida mahali otherwise wabongo wapewe hiyo kandarasi. Bilioni 69 ni nyingi sana, kwani hiyo software ndo itakuwa suluhu ya umeme kukatika kabisa?

Unafahamu kama usimamizi butu wa mitambo unaweza kupelekea mitambo kuharibikaharibika? Unafahamu kushindwa kuwa na proper maintenance programs na spare parts invetory kunaweza kupelekea mitambo kusimama? Kuna vitu wabongo tuwe tunazama deep kidogo.
 
Chief: haya mambo ya kitalaam kabla ya kuandika ni vyema kwanza ukafanya uchunguzi na kujiridhisha... siwatetei wahusika lakini concern yangu ipo hapa, binafsi nafahamu zipo software duniani zinauzwa duniani kwa gharama kubwa kwa ajili ya kuendesha na kucontrol mifumo tofauti tofauti......

Tanesco kama shirika kubwa lenye mitambo miiingi inayohitaji maintenance na spareparts na controlling kwa ujumla ili iwe na ufanisi... unahitaji mifumo ya kisasa uweze kufanya controlling ya mitambo na spareparts na watu wako ili upate performance nzuri...Hivi vitu vinahitaji utalaam wa hali ya juu na watalaam wabobezi sio blah blah..
Mkuu unafahamu maana ya software? Na unajua hii software waliokodi Tanesco ipo vipi?
 
Tulikuwa tukiwaambia uhuru wa watu demokrasia ni Kila kitu mlikuwa mnatuona mazuzu na jiwe wenu aliyekuwa anawadanganya kuwa upinzani unachelewesha maendeleo. Kungemuwepo na uhuru na demokrasia mkataba huu hata Kama ungeisainiwa,ungevunjwa kwa nguvu ya umma hata kupitia maandamano tu. Tuwekeze katika mifumo siyo watu na matukio.
 
Ku divert maji kunawashinda halafu wanajifanya wanaenda na technology

Nchi maskini ni shida sana maana ni wachache wanapika data na kuiba
Na ukidhibiti sana unaenda na maji
 
Kwa taifa masikini kama Tanzania ambalo raia wake maskini wanakamuliwa kodi na tozo za kila aina kuingia mkataba wa bil 60+ ili kukodi software ya gharama ya bil 60+ ili hali wanafunzi hawana madarasa, maji ya uhakika, umeme na hata makazi mazuri ni kukosa busara.

Hivi kweli Tanesco wanahitaji software kama hii kwa wakati huu? Ok kama wanauhitaji ndio kusema hakuna watanzania waliosoma Computer science?

Je, ndio gharama kubwa namna hii.

Kukodi Software kama kwa gharama kubwa ni dalili kubwa kuwa kuna ufisadi mkubwa. Maana bil 60+ kwa taifa letu masikini ni pesa nyingi ambazo zingetumika.

Kuhusu mkataba, soma: TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M
Acha bhana eeeee! Uchunguzi wako kwani unasemaje?
 
Mkuu unafahamu maana ya software? Na unajua hii software waliokodi Tanesco ipo vipi?

Mkuu, nafahamu vizuri sana maana ya software, hebu tueleze sasa hiyo software waliokodi Tanesco ni kwa ajili ya kazi gani?...

Binafsi kitaalam nafahamu gharama ya software tofauti tofauti na gharama zake na umuhimu wa kazi zake.....moja ya mambo yanayotufanya tushindwe kwenda mbele pia ni kupenda kwetu kuendesha mambo kienyeji na kuuweka utalaam pembeni..
 
Kwa taifa masikini kama Tanzania ambalo raia wake maskini wanakamuliwa kodi na tozo za kila aina kuingia mkataba wa bil 60+ ili kukodi software ya gharama ya bil 60+ ili hali wanafunzi hawana madarasa, maji ya uhakika, umeme na hata makazi mazuri ni kukosa busara.

Hivi kweli Tanesco wanahitaji software kama hii kwa wakati huu? Ok kama wanauhitaji ndio kusema hakuna watanzania waliosoma Computer science?

Je, ndio gharama kubwa namna hii.

Kukodi Software kama kwa gharama kubwa ni dalili kubwa kuwa kuna ufisadi mkubwa. Maana bil 60+ kwa taifa letu masikini ni pesa nyingi ambazo zingetumika.

Kuhusu mkataba, soma: TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M
Mkuu unafahamu maana ya software? Na unajua hii software waliokodi Tanesco ipo vipi?
Inafanya nini cha ajabu ? Inazalisha umeme? Wape watanzania 1/20 ya hiyo hela wangekutengenezea hiyo software. Ni wizi tu, period.
 
Kwa taifa masikini kama Tanzania ambalo raia wake maskini wanakamuliwa kodi na tozo za kila aina kuingia mkataba wa bil 60+ ili kukodi software ya gharama ya bil 60+ ili hali wanafunzi hawana madarasa, maji ya uhakika, umeme na hata makazi mazuri ni kukosa busara.

Hivi kweli Tanesco wanahitaji software kama hii kwa wakati huu? Ok kama wanauhitaji ndio kusema hakuna watanzania waliosoma Computer science?

Je, ndio gharama kubwa namna hii.

Kukodi Software kama kwa gharama kubwa ni dalili kubwa kuwa kuna ufisadi mkubwa. Maana bil 60+ kwa taifa letu masikini ni pesa nyingi ambazo zingetumika.

Kuhusu mkataba, soma: TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M
Hiyo itatumbukia awamu inayofuata

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kwa taifa masikini kama Tanzania ambalo raia wake maskini wanakamuliwa kodi na tozo za kila aina kuingia mkataba wa bil 60+ ili kukodi software ya gharama ya bil 60+ ili hali wanafunzi hawana madarasa, maji ya uhakika, umeme na hata makazi mazuri ni kukosa busara.

Hivi kweli Tanesco wanahitaji software kama hii kwa wakati huu? Ok kama wanauhitaji ndio kusema hakuna watanzania waliosoma Computer science?

Je, ndio gharama kubwa namna hii.

Kukodi Software kama kwa gharama kubwa ni dalili kubwa kuwa kuna ufisadi mkubwa. Maana bil 60+ kwa taifa letu masikini ni pesa nyingi ambazo zingetumika.

Kuhusu mkataba, soma: TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M
Chukulia kila taasisi ije na backdrops za projects kama hizo za.softawre management inaweza kupanguka kama trillion hivi hiv

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom