Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Kwa taifa masikini kama Tanzania ambalo raia wake maskini wanakamuliwa kodi na tozo za kila aina kuingia mkataba wa bil 60+ ili kukodi software ya gharama ya bil 60+ ili hali wanafunzi hawana madarasa, maji ya uhakika, umeme na hata makazi mazuri ni kukosa busara.
Hivi kweli Tanesco wanahitaji software kama hii kwa wakati huu? Ok kama wanauhitaji ndio kusema hakuna watanzania waliosoma Computer science?
Je, ndio gharama kubwa namna hii.
Kukodi Software kama kwa gharama kubwa ni dalili kubwa kuwa kuna ufisadi mkubwa. Maana bil 60+ kwa taifa letu masikini ni pesa nyingi ambazo zingetumika.
Kuhusu mkataba, soma: TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M
Hivi kweli Tanesco wanahitaji software kama hii kwa wakati huu? Ok kama wanauhitaji ndio kusema hakuna watanzania waliosoma Computer science?
Je, ndio gharama kubwa namna hii.
Kukodi Software kama kwa gharama kubwa ni dalili kubwa kuwa kuna ufisadi mkubwa. Maana bil 60+ kwa taifa letu masikini ni pesa nyingi ambazo zingetumika.
Kuhusu mkataba, soma: TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M