Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Michezo ya chama hii. Nowadays watu sio wajinga sana kama wanavyofikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikalini unavyozidi kusogea juu kwenye uongozi ndivyo unakuwa unakaribia mlango wa kutokea (Exit door).
Bora ubaki chini chini ukiwa invisible!!.Mkuu wa Takukuru mbona anatoa matokeo ya uchunguzi hadharani.Ni sahihi?Kama anatoa hukumu vile wakati kuna Mahakama.
Nawapongeza TAKUKURU kwa uchunguzi sheria sasa ifuate mkondo wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ubaki chini chini ukiwa invisible!!.Mkuu wa Takukuru mbona anatoa matokeo ya uchunguzi hadharani.Ni sahihi?Kama anatoa hukumu vile wakati kuna Mahakama.
Rubbish, wangelikuwa wengine wangelikuwa put in the cell. Kwa hawa mnalindana na hakuna la maana sana sana hana hatia, aliteleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kangi Aliwapelekesha sana Polisi shenzi zao wamemlengesha
Waanze na mnunuzi wa birds "
Sikiliza vizuri kuanzia 13:21Hajatoa lolote LA maana. Amesema uchunguzi tayari. Hajasema kama wanatuhuma au hapana.DPP ndiye ataamua
Sent using Jamii Forums mobile app