Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,191
- 4,103
Tunafahamu kwamba hivi karibuni ndani ya mkoa wa Dodoma kutafanyika uchaguzi wa viongozi wa Chama cha wafugaji Tanzania. Mkutano huo umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 19/07/2020 ambapo viongozi wa ngazi ya kitaifa wa chama hicho watachaguliwa kuongoza chama kwa miaka mitatu 03.
Nafasi za uongozi wa Kitaifa zitakazogombewa siku hiyo ni Mweneyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu msaidizi na Mweka hazina na wajumbe wa kamati Tendaji.
Nafasi za uongozi wa Kitaifa zitakazogombewa siku hiyo ni Mweneyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu msaidizi na Mweka hazina na wajumbe wa kamati Tendaji.