Tarehe 21 Julai, 2020 kulikuwa na mchujo wa watia nia kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Rorya. Mambo hayakwenda kama ilivyotarajiwa na kulikuwa na harufu kubwa ya rushwa.
Wengi waliopata alama za juu aidha kuna mbinu iliyotumika na kuwawezesha kupata kura nyingi. Tunaiomba Takukuru Wilaya ya Rorya kutoa ripoti ya haki kwa ngazi za juu kuhusiana na vitendo vya rushwa katika uchaguzi huo.
Wengi waliopata alama za juu aidha kuna mbinu iliyotumika na kuwawezesha kupata kura nyingi. Tunaiomba Takukuru Wilaya ya Rorya kutoa ripoti ya haki kwa ngazi za juu kuhusiana na vitendo vya rushwa katika uchaguzi huo.