keynessian
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 588
- 407
Kwa hiyo mkopeshaji analipwaje chake?.
kisheria apaswi kulipwa kwa sababu kwanza hapo kafanya makosa mengi.
Moja ni kufanya biashara ya kukopesha kinyume na sheria kwa kukosa leseni benki kuu.
Ukwepaji wa kodi, kwa kuwa biashara iyo haitambuliki, maana hayo mapato haramu hayatotozwa kodi.
Kwa kupokea na kutumia hayo mapato ya riba kinyume na sheria, inaweza kutafsiriwa kama utakatishaji wa fedha.
Kwa iyo kurudisha tu iyo dhamana (nyumba ) iliyokwa rehani wamemsaidia tu mkopaji maana anastahili adhabu nyingi.
Ikitokea mtu anashida alafu akakuambia umkopeshe pesa na atakurudishia zaidi ya iyo kwa kuda mfupi ama mrefu kwa kukupa dhamana yoyote usikubali kwa maana akilalamika kwenye vyombo husika utakosa yote pamoja na kuingia matatani.