CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Report iliyotelewa jana na Takukuru, imeitaja polisi na mahakama, ardhi na tra kuwa ni vinara wa rushwa nchini. Huku taasisi ya kupambana na rushwa, PCB nayo imetajwa kama moja ya taasisi ya wapokeaji wa rushwa.
My take: kama taasisi ya kuzuia rushwa, nayo ina pokea rushwa, sasa tumwamini nani? Kwa jinsi hii rushwa itapungua nchini. Kuna umuhimu gan wa kuwa na chombo hiki? Tanzania zaid ya huijuavyo. Kwazi kweli kweli!
My take: kama taasisi ya kuzuia rushwa, nayo ina pokea rushwa, sasa tumwamini nani? Kwa jinsi hii rushwa itapungua nchini. Kuna umuhimu gan wa kuwa na chombo hiki? Tanzania zaid ya huijuavyo. Kwazi kweli kweli!