Huwezi ona kwasababu wewe siyo mzalendo wa kweli maana bila pccb maendeleo 0 ni sawa kuweka maji kwenye gunia na uadilifu huu wa sasa usingekuwepo maana watumishi wa umma na sekta binafsi wangeendelea kupiga dili tu sasa hali shwari.Hii ni miongoni mwa taasisi zinazofuja pesa na sijawahi kuona mantiki ya uwepo wake. Hali kadhalika bunge...
Mimi sishangai hata wenyewe walisema kuhusu hatua kuchukuliwa wana uhakika hazitachukuliwa. Ndiyo maana msemaji wa hicho chama kinachojiita cha kuzuia rushwa ameita press conference kumfurahisha mkuu lazima atetee chakula chake ili asichukue hatua zozote.Aisee baada ya kumsikia yule jaji mwili ulisisimka ndo nikajua kama kweli faru john kesha shika mihimili yote yaani jaji naye mweupe kabisa kichwani au naye anatumikia tumbo na si taaluma
Mimi nashauri Nasari aweke zote YouTube kwani kwanza hao wazuiaji rushwa wenyewe hawatafanya chochote ili wananchi tujue inatosha sana.Kiukweli mkubwa kaumbuka sana,na usemi ule wa Zito kabwe kuwa tumewapa washamba na malimbukeni ni kweli.walidhani wapo gizani na gia zote za kusema madiwani wanafurahishwa na utendaji wa mkubwa kumbe pesa ya rushwa ilikua inatembezwa pamoja na ahadi kemkem.kiukweli mkubwa amejidhalilisha napenda kuwapa hongera hao vijana akina Nasari kwa kua wamejaribu kukomesha cheap politics za mkubwa
Seriously?Ni kweli mtoa taarifa kujianika hadharani inaweza kumuweka hatarini.
Huwezi ona kwasababu wewe siyo mzalendo wa kweli maana bila pccb maendeleo 0 ni sawa kuweka maji kwenye gunia na uadilifu huu wa sasa usingekuwepo maana watumishi wa umma na sekta binafsi wangeendelea kupiga dili tu sasa hali shwari.
Yes kwasababu limetendwa na x, that's y ni moral wrong, lingekua limetendwa na y, habari ungeikuta FrontPage, Director wa Takukuru kaibwatukia mwenyewe..... aibu kwa law enforcement agencies za Tanzania.....Aibu...
huyo mkurugenzi ameshindwa kuwahoji kina mnyeti? ccm imeiharibu sana hii nchi
huyo mkurugenzi ameshindwa kuwahoji kina mnyeti? ccm imeiharibu sana hii nchi
TAKUKURU YA TANZANIA
nyuma ya kiti cha msemaji ukutani kuna bango limeandikwa "Penda Nchi Yako".
TAKUKURU YA TANZANIA
TAKUKURU wamesema wameshangazwa na Wabunge Nassari na Lema kuongea na waandishi baada ya kuwapa ushahidi, na walicholeta Lema na Nassari sio ushahidi ni taarifa na wanaifanyia kazi
Katika ushahidi kuna mambo mengi na wanaangalia matakwa ya kisheria, ushahidi una relevance na possibility
Sheria inataka mtoa taarifa alindwe lakini Nassari na wenzake walifanya watu kuwafahamu kwa kuongea na waandishi wa habari
Pia ametoa Onyo kwa Nassari wasiwe wanaishinikiza chombo hicho na kukiweka kwenye malumbano ya kisiasa
Amemshangaa Nassari kuuliza kwa nini hawajaupeleka ushahidi huo mahakamani mpaka sasa na kusema wao wanaongozwa na sheria ya mwenendo wa mashtaka na wakishamaliza uchunguzi watatathimini matokeo waliyoyapata na wakijiridhisha walichopewa kinakidhi vigezo vilivyowekwa na sheria watafikisha katika hatua nyingine ya mwenendo wa mashtaka ya jinai na watapeleka mashataka kwa mwendesha mashataka mkuu wa serikali na ataandaa mashataka dhidi ya washtakiwa kama wapo
Uchunguzi unaweza kugundua walichopeleka ni kosa ama sio kosa, inawezekana kuna matukio yanafanyika na watu wanadhani ni makosa kumbe ni 'moral wrongs' tu amabayo yanahitaji utaratibu mwingine wa kuwashukulikia
Amemshauri Nassari kukoma mara moja kugeuza mchakato huo wa kisheria kuwa malumbano ya kisiasa