M
MegaPyne
Guest
[FONT=arial,sans-serif]Wakati Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) PCCB leo inaadhimisha siku ya Maadili kitaifa, suala la rushwa bado linaonekana kuwa kubwa, huku taasisi hiyo ikionesha kuchangia kuongezeka kwa tatizo hilo kutokana na mfumo mbovu wa uongozi wa Mkurugenzi Mkuu wake Bw. Edward Hosea.
[/FONT]
[FONT=arial,sans-serif]Bw. Hosea amekuwa kikwazo kikubwa kwa wasomi hao kutekeleza majukumu ya msingi ya kupambana, kuzuia, ili kutokomeza mdudu huyo mbaya wa rushwa nchini.
[/FONT]
Taarifa za ndani ya Taasisi hiyo zimesema kuwa Bw. Hosea amemtoa Kamanda wa Taasisi hiyo wa mkoa wa Shinyanga na Kumpeleka kusimamia Maktaba ya Idara ya Elimu kwa Uma, Sasa kweli RBC Region PCB Kamanda anakuwa mtunza mavitabu na mafaili, kwa kosa lipi kubwa? pia amekuwa akiwashutumu wakurugenzi wenzake kwa masuala mbalimbali ya kiutendaji kutokana na udhaifu wake.
Huyu Bw. Hosea amediriki hata kudai kuwa Rais KIKWETE ni Msela mwenzake na kwamba amemsaidia sana katika kampeni za uchaguzi wa mwaka 2005, katika mchakato wa kumpata mgombea wa CCM Mjini Dodoma kwa kuunda safu ndani ya PCB ya wakati huo ili kuvuruga njama za wagombea wengine kuwashawishi wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM 2005, ili apite yeye.
"Poleni sana yote ambayo Wakurugenzi wangu mnayapeleka Ikulu mie nayajua, kila siku mnajihimu ikulu mkitegemea kuwa mtaweza kujaribu kuyarekebisha haya, hamuwezi hata kwa dawa, ukweli ni kwamba ukienda kwa Luwanjo (Katibu Mkuu Kiongozi) na yeye akimwambia Jakaya(Rais) Lazima jioni katika kijiwe chetu aniambie yote, na mara nyingine hata hunishauri nimpelekee mapendekezo ya kuwakandamiza ili awapige chini" ni sehemu ya sentensi ya Bw. Hosea aliyoitoa Marangu mbele ya maafisa mbalimbali wa Taasisi hiyo.
Akizungumza kwa uchungu mmoja wa Wakurugezni ambaye hajataka kutaja jina lake amesema "Kwa ujumla wanahabari kuna mengi yanatendeka ndani ya PCCB kiasi kwamba sasa hivi vijana wetu ambao ni wasomi wazuri huko mawilayani wajuta kwanini walijiunga na Taasisi hii, kwani pesa zote zinaishia kumnufaisha yeye ( Bw.Hosea) peke yake bila kutekeleza mambo muhimu ya kiutendaji.
Hivi sasa Bw. Hosea anajenga jumba la kifahari wilayani Maswa, huku akimiliki jingine kubwa nchini Marekani, hali ambayo inafanya kuwepo kwa kiini macho cha kiutendaji ndani ya Takukuru.
Amezuia maafisa wote wa PCCB kutoonekana wakifanya mazungumzo wala kusalimiana na KAMAZIMA(EX-Director General) wa PCCB kwa madai kuwa anampiga vita ili aikose nafasi hiyo ambayo tayari anayo.
Wanahabari na watendaji wa nchi hii, ili tunsaidie Rais Kikwete katika vita dhidi ya rushwa ni lazima tumshauri kwa hoja za kina, na tusifikie mahali tukadanganyika na suti za mtu, tukashindwa kueleza ukweli.
Nategemea wanahabari mtalifanyia kazi hili, kwani katika Journalism, kunautendaji kama katika upelelezi na Uchunguzi, ambao ili uufanye kwa kiwango cha kuwasaidia wengine lazima ufanya kitu wataalamu wanasema kutafuta taarifa kwa mfumo wa 5W and H.
Mfumo huu siye wapelelezi huwa tunautumia kwa minajili ya Nani wa kumchunguza Wapi pakumchunguza Lini anatakiwa achunguzwe, Kwanini achunguzwe, Namna gani achunguzwe, Matokeo ya kumchunguza.
Nawategemea sana katika hili mtasaidia kwa kiwango kikubwa kutukwamua na kidudu mtu hiki ili wakati U [FONT=arial,sans-serif]moja wa Mataifa unadhimisha siku ya Maadili Duniani Decemba 9 kila mwaka na Tanzania kuadhimisha leo Tarehe 10 , Haki itendeke bila kumwacha huyu jamaa akinenepesha tumbo lake.
[/FONT] [FONT=arial,sans-serif]Kauli mbiu ya mwaka huu ya maadhimisho ya Siku ya Maadili ni Kukataa kwako rushwa kuna thamani.
[/FONT] [FONT=arial,sans-serif]Naambatanisha maelezo yatakayowasaidia kutoka Jambo Forum ambayo yote hayo yanaukweli mtupu.
Source: Niulize hii baadaye!
[/FONT]
[/FONT]
[FONT=arial,sans-serif]Bw. Hosea amekuwa kikwazo kikubwa kwa wasomi hao kutekeleza majukumu ya msingi ya kupambana, kuzuia, ili kutokomeza mdudu huyo mbaya wa rushwa nchini.
[/FONT]
Taarifa za ndani ya Taasisi hiyo zimesema kuwa Bw. Hosea amemtoa Kamanda wa Taasisi hiyo wa mkoa wa Shinyanga na Kumpeleka kusimamia Maktaba ya Idara ya Elimu kwa Uma, Sasa kweli RBC Region PCB Kamanda anakuwa mtunza mavitabu na mafaili, kwa kosa lipi kubwa? pia amekuwa akiwashutumu wakurugenzi wenzake kwa masuala mbalimbali ya kiutendaji kutokana na udhaifu wake.
Huyu Bw. Hosea amediriki hata kudai kuwa Rais KIKWETE ni Msela mwenzake na kwamba amemsaidia sana katika kampeni za uchaguzi wa mwaka 2005, katika mchakato wa kumpata mgombea wa CCM Mjini Dodoma kwa kuunda safu ndani ya PCB ya wakati huo ili kuvuruga njama za wagombea wengine kuwashawishi wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM 2005, ili apite yeye.
"Poleni sana yote ambayo Wakurugenzi wangu mnayapeleka Ikulu mie nayajua, kila siku mnajihimu ikulu mkitegemea kuwa mtaweza kujaribu kuyarekebisha haya, hamuwezi hata kwa dawa, ukweli ni kwamba ukienda kwa Luwanjo (Katibu Mkuu Kiongozi) na yeye akimwambia Jakaya(Rais) Lazima jioni katika kijiwe chetu aniambie yote, na mara nyingine hata hunishauri nimpelekee mapendekezo ya kuwakandamiza ili awapige chini" ni sehemu ya sentensi ya Bw. Hosea aliyoitoa Marangu mbele ya maafisa mbalimbali wa Taasisi hiyo.
Akizungumza kwa uchungu mmoja wa Wakurugezni ambaye hajataka kutaja jina lake amesema "Kwa ujumla wanahabari kuna mengi yanatendeka ndani ya PCCB kiasi kwamba sasa hivi vijana wetu ambao ni wasomi wazuri huko mawilayani wajuta kwanini walijiunga na Taasisi hii, kwani pesa zote zinaishia kumnufaisha yeye ( Bw.Hosea) peke yake bila kutekeleza mambo muhimu ya kiutendaji.
Hivi sasa Bw. Hosea anajenga jumba la kifahari wilayani Maswa, huku akimiliki jingine kubwa nchini Marekani, hali ambayo inafanya kuwepo kwa kiini macho cha kiutendaji ndani ya Takukuru.
Amezuia maafisa wote wa PCCB kutoonekana wakifanya mazungumzo wala kusalimiana na KAMAZIMA(EX-Director General) wa PCCB kwa madai kuwa anampiga vita ili aikose nafasi hiyo ambayo tayari anayo.
Wanahabari na watendaji wa nchi hii, ili tunsaidie Rais Kikwete katika vita dhidi ya rushwa ni lazima tumshauri kwa hoja za kina, na tusifikie mahali tukadanganyika na suti za mtu, tukashindwa kueleza ukweli.
Nategemea wanahabari mtalifanyia kazi hili, kwani katika Journalism, kunautendaji kama katika upelelezi na Uchunguzi, ambao ili uufanye kwa kiwango cha kuwasaidia wengine lazima ufanya kitu wataalamu wanasema kutafuta taarifa kwa mfumo wa 5W and H.
Mfumo huu siye wapelelezi huwa tunautumia kwa minajili ya Nani wa kumchunguza Wapi pakumchunguza Lini anatakiwa achunguzwe, Kwanini achunguzwe, Namna gani achunguzwe, Matokeo ya kumchunguza.
Nawategemea sana katika hili mtasaidia kwa kiwango kikubwa kutukwamua na kidudu mtu hiki ili wakati U [FONT=arial,sans-serif]moja wa Mataifa unadhimisha siku ya Maadili Duniani Decemba 9 kila mwaka na Tanzania kuadhimisha leo Tarehe 10 , Haki itendeke bila kumwacha huyu jamaa akinenepesha tumbo lake.
[/FONT] [FONT=arial,sans-serif]Kauli mbiu ya mwaka huu ya maadhimisho ya Siku ya Maadili ni Kukataa kwako rushwa kuna thamani.
[/FONT] [FONT=arial,sans-serif]Naambatanisha maelezo yatakayowasaidia kutoka Jambo Forum ambayo yote hayo yanaukweli mtupu.
Source: Niulize hii baadaye!
[/FONT]