nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Tena kijijini ndio rahisi kukamatwa. Hakuna watu active kama wanakijiji, wakishamshuku mtu filimbi inapulizwa !Kwa ujinga wa kujificha Mwanza sio ajabu amekutwa hana kitu, alitakiwa akajifiche vijijini huko mfano mwabuki, Ngudu huko nk
au ma mtwara huko ndani kabisa ambako inapunguza chances za kukutana na watu wanaokufahamu.