TAKUKURU Mwanza yamtia mbaroni aliyekuwa mhasibu wa bandari Kigoma Madaraka Robert, anayetuhumiwa kwa makosa ya rushwa

Kwa ujinga wa kujificha Mwanza sio ajabu amekutwa hana kitu, alitakiwa akajifiche vijijini huko mfano mwabuki, Ngudu huko nk
au ma mtwara huko ndani kabisa ambako inapunguza chances za kukutana na watu wanaokufahamu.
Tena kijijini ndio rahisi kukamatwa. Hakuna watu active kama wanakijiji, wakishamshuku mtu filimbi inapulizwa !
 
Pumbafu hawa badala wamkamate Ndugai kwa uhujumu uchumi anawabunge wa kubumba wanaonea watoto wa watu kwa hela kidogo ambayo hata hatuna uhakika kama ni kweli waliiba au ni uonevu. shame on them
Waonewe kwa sababu zipi? Mentality ya ajabu uko nayo. Halafu wanafikishwa Mahakamani, hivyo kama ni uonevu watathibisha huko.
 
Ni uonevu tu wa kijinga, akina Lugola wameiba matrillion lakini wapo nje mpka leo. Pumbafu kabisa
Ukifanya ubadhirifu na mla rushwa lazima ukamatwe tu.
Lugola yupi unayemzungumzia? Kama ni yule aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge, basi yupo nchini.
 
Wamwachie tu sasa iyo bandari inaingiza nini? Uskute aliomba tu hela ya kula elfu arobaini. Kigoma sijui naionaje. Hivi kuna lami kweli?
Zabayanga Atatuambia Ilivyo Kigoma
😣😇🙂☺😶😑🙄😐
 
Back
Top Bottom