Capsicum
Member
- Jul 20, 2018
- 24
- 30
Straight to the point.
TAKUKURU hebu kwa heshima na taadhima nawaomba mkafuatilie huu mchakato jinsi ulivyofanyika maana una viashiria vya RUSHWA ndani yake, kwanini nasema hivi:-
1) Hakukua na tangazo la ajira publicly watu waliitwa kwa kupigiwa simu kwenda kufanya usaili.
2) Baada ya usaili kufanyika watu walianza kupigiwa simu waende kusign mikataba ya ajira
Sasa hapa ndio ujanjaujanja ulipoanza.. Ikumbukwe kwenye kampuni tanzu za TPDC especially GASCO kuna vijana wamekua wanafanya intern kwa muda mrefu wengine hadi miaka miwili inafika. Hivyo vijana hawa ndio wana uelewa mkubwa sana kuhusu process zote za GASCO ila cha kushangaza watu waliopewa hizi ajira ni tofauti kabisa.
Imagine unamuajiri mtu kutoka NHC, TEMESA aende akafanye kazi kwenye Gas processing plant wakati kuna intern amekuwepo huko kwa zaidi ya mwaka na anajua kila kitu!
Wakati wa usaili kulikua na vigezo vinavyotakiwa ikiwepo mtu kua amehudumu kama intern ktk shirika kwa muda kadhaa, awe amesajiliwa na board kama graduate engineer lakini unakuta waliosign hizo cintract kwanza wengine hawajawahi kufanya kazi TPDC, wengine hawajasajiriwa na board! Kigezo gani kilitumika kuwachagua hao watu?
Kama kweli tupo serious na process za uchakataji Gas kwanini tunaajiri watu ambao hawajui kitu kuhusu hizo kazi na tunaacha watu ambao wamekua wanawakiwa na jua muda mrefu wakilitumikia shirika kwa moyo mmoja na kwa ujira mdogo?
Kiukweli TPDC/TAESA mmewavunja sana moyo vijana hawa waliojitolea kulitumikia shirika kwa muda mrefu na mwisho wa siku mmewatupa pembeni.
Kazi kwenu TAKUKURU, mkafanyie kazi ili mjiridhishe mkikuta mchakato ulikua sawa itapendeza ila kama haupo sawa hatua kali zichukuliwe kukomesha huu uonevu.
TAKUKURU hebu kwa heshima na taadhima nawaomba mkafuatilie huu mchakato jinsi ulivyofanyika maana una viashiria vya RUSHWA ndani yake, kwanini nasema hivi:-
1) Hakukua na tangazo la ajira publicly watu waliitwa kwa kupigiwa simu kwenda kufanya usaili.
2) Baada ya usaili kufanyika watu walianza kupigiwa simu waende kusign mikataba ya ajira
Sasa hapa ndio ujanjaujanja ulipoanza.. Ikumbukwe kwenye kampuni tanzu za TPDC especially GASCO kuna vijana wamekua wanafanya intern kwa muda mrefu wengine hadi miaka miwili inafika. Hivyo vijana hawa ndio wana uelewa mkubwa sana kuhusu process zote za GASCO ila cha kushangaza watu waliopewa hizi ajira ni tofauti kabisa.
Imagine unamuajiri mtu kutoka NHC, TEMESA aende akafanye kazi kwenye Gas processing plant wakati kuna intern amekuwepo huko kwa zaidi ya mwaka na anajua kila kitu!
Wakati wa usaili kulikua na vigezo vinavyotakiwa ikiwepo mtu kua amehudumu kama intern ktk shirika kwa muda kadhaa, awe amesajiliwa na board kama graduate engineer lakini unakuta waliosign hizo cintract kwanza wengine hawajawahi kufanya kazi TPDC, wengine hawajasajiriwa na board! Kigezo gani kilitumika kuwachagua hao watu?
Kama kweli tupo serious na process za uchakataji Gas kwanini tunaajiri watu ambao hawajui kitu kuhusu hizo kazi na tunaacha watu ambao wamekua wanawakiwa na jua muda mrefu wakilitumikia shirika kwa moyo mmoja na kwa ujira mdogo?
Kiukweli TPDC/TAESA mmewavunja sana moyo vijana hawa waliojitolea kulitumikia shirika kwa muda mrefu na mwisho wa siku mmewatupa pembeni.
Kazi kwenu TAKUKURU, mkafanyie kazi ili mjiridhishe mkikuta mchakato ulikua sawa itapendeza ila kama haupo sawa hatua kali zichukuliwe kukomesha huu uonevu.