Imewaburuta au imewaburuza?
Watu watatu wakiwemo watumishi wawili wa Mamlaka ya Maji Safi Mkoani Mara(MUWASA)
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani humo imechukua hatua hiyo kwa tuhuma kuwa watatu hao wameitia MUWASA hasara ya milioni 613
Azam Tv