Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,539
TAKUKURU mkoani Mara wamebaini watu wanaotumia jina la Rais Magufuli kujinuifaisha katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ambapo taasisi hiyo imefanikiwa kuokoa zaidi ya Tsh. milioni 600 ambazo zilikuwa zimekusanywa kupitia jina la Rais Magufuli na uchunguzi unaendelea
Mkuu wa Mkoa Mara, Adam Malima amesema hatokubali hii tabia mkoani kwake kufanyika, Mzee wa watu kasema hajatuma mtu kuja kugombea
Mkuu wa Mkoa Mara, Adam Malima amesema hatokubali hii tabia mkoani kwake kufanyika, Mzee wa watu kasema hajatuma mtu kuja kugombea