Karia anavimbiana tu tumbo kila siku akawekwe kwenye uhujumuHata hivo takukuru pia imesema siyo hela aliyowapa Rais tu,kuna zile ambazo wadau na makampuni walichanga
Tusubiri uchunguzi ukamilike,
Ivi uchunguzi wa Kangi Lugola uliishia wapi?
Tusubiri uchunguzi ukamilike,
Ivi uchunguzi wa Kangi Lugola uliishia wapi?
Msomali kasema pesa haijaingia kwenye account ya TFF ...na pia ile michuano ya U17 ambayo hiyo B ilitakiwa itumike imeacha madeni mpaka le TFF wanadaiwa....Salamu
Hii fedha imekuwa na ufafanuzi wenye mkanganyiko mkubwa kati ya waziri wa michezo Mh. Dkt. Mwakyembe, BMT na TFF
Mh waziri anasema ni 'zaidi' ya bilioni 1.7 huku kukiwa na maswali juu ya matumizi ya fedha iliyotolewa na Mh. Raisi pamoja na wadau wengine
Mpaka sasa hili swala linachunguzwa na TAKUKURU huku wahusika na wadau wa michezo wakihimizwa kutoa ushirikiano kwa taasisi ili kuubaini ukweli.
Wadau na wajuzi wa mambo hili limekaa vipi kwa Mh waziri je, hili ni kuti kavu?
Tiririka...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa bwasheeUkipata jibu usisite kushea nami bwashee.
Ndio ya katiba mpya.Ni ngumu sana kuwamaliza "mchwa" wote nchini kwa kumtegemea mtu mmoja tu. Siku huyo mtu akijiwa na wazo la kutengeneza mfumo imara, mambo mengi yatatengemaa.
Taasisi imara angalau zilianza kujengwa wakati wa Mzee Mkapa na Kikwete.Ni ngumu sana kuwamaliza "mchwa" wote nchini kwa kumtegemea mtu mmoja tu. Siku huyo mtu akijiwa na wazo la kutengeneza mfumo imara, mambo mengi yatatengemaa.
Wallace Karia: Kuna ma-Tundu Lissu wa kwenye mpira - JamiiForumsMsomali kasema pesa haijaingia kwenye account ya TFF ...na pia ile michuano ya U17 ambayo hiyo B ilitakiwa itumike imeacha madeni mpaka le TFF wanadaiwa....
Hii issue ni ngumu...
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
karma is a bitch..mwisho wa Karia umefika hakuna aliyekumbwa na kashfa ya ubadhirifu TFF akabaki salama..poleni mikia muda wenu wa magoli ya offside kuwa halali umefika..huyo brigedia Mbungo atakuwa mwananchi
When your memories exceed your dreams, the end is near.Sisi hatubwebi hata aingie Rais gani tutachukua ubingwa back to back
MONEY STOP NONSENSE