TAKUKURU: Kwenye TFF kuna hela zimetumika vibaya

KARIA ni mtu wa system, wanajua aliyekula hela , hazijaliwa TFF, makada wamepiga na itaisha mama msabilioni ya kikwete yalipigwa na watu kwa sasa wanajiita MATAGA
Karia mwizi fulani ambaye ni mjanja mjanja tu wala asikudanganye kuwa mtu wa system. Kama Karia yuko system basi Watanzania wote tuko kwenye hiyo system au TISS
 
Ila kuna uhakika wowote kama Rais alitoa hiyo hela ?isije ikawa changa la macho,kama alitoa alimpa nani wakati TFF wamesema haikuingizwa kwenye account yao
Uhakika upo ndicho alichosema Brig General John Mbungo. Wanapofanya uchunguzi wanaanzi kwenye shina ambalo ni fedha zilikotoka. Baada ya hapo ndiyo wamekwenda TFF wanakufa hazijaingia kwenye akaunti. Ndiyo maana Brig General John Mbungo anasema rudisheni. Kwa hiyo anajua nani kachukua ngapi na nani ngapi!!
 
Huu ni ushauri tu kwa TAKUKURU baada ya kuthibitishwa kwa tuhuma za siku nyingi za kutafunwa kitita cha pesa zilizotolewa na mkuu

Miaka mingi kuna utata wa Uraia wa Karia , sasa kwa vile uraia wa mtu huyu una utata basi ni vema wakati uchunguzi zaidi ukiendelea awekwe kizuizini asije akakimbilia kwao tukapoteza pesa za umma ambazo hazijulikani zilipo .

Nakala : Tundu Lissu
 
Basi kama ni hivo ipo wazi hiyo hela wanaifahamu kamati ya ushindi iliyoundwa ,na wa kudeal naye ni mwenyekiti wa kamati pia
Uhakika upo ndicho alichosema Brig General John Mbungo. Wanapofanya uchunguzi wanaanzi kwenye shina ambalo ni fedha zilikotoka. Baada ya hapo ndiyo wamekwenda TFF wanakufa hazijaingia kwenye akaunti. Ndiyo maana Brig General John Mbungo anasema rudisheni. Kwa hiyo anajua nani kachukua ngapi na nani ngapi!!
 
Ikitokea hawa jamaa na wenyewe wakaburuzwa mahakamani kwa upigaji, basi itashangaza sana! Maana walikuwa ni zaidi ya nyoka kwa kuwaharibia wenzao akina Michael Wambura na Jamal Malinzi.
 
Karia mwizi fulani ambaye ni mjanja mjanja tu wala asikudanganye kuwa mtu wa system. Kama Karia yuko system basi Watanzania wote tuko kwenye hiyo system au TISS
Bro, kakaa sana halmashauri na anafanya kazi nyingi za system, na kwenye hili sakata anaweza hata kuwekwa ndani baadae akachomoka, system inapandikiza watu, mnakufa pamoja mwisho kabisa anachomoka.
 
Yule msomali lazima atajua nini kinaendelea
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa imesema shirikisho la mpira(TFF ) kuna hela zimetumika vibaya,baadhi ya watuhumiwa wameitwa kuhojiwa na nyaraka mbalimbali zimechukuliwa .

TAKUKURU imesema watu hao wana hiari ya kurudisha hela au kusubiri uchunguzi ukamilike.

Mkurugenzi wa TAKUKURU Brigadia John Mbungo amesema Kwenye shirikisho la Mpira nchini TFF Kuna Fedha zimetumika vibaya amesema baadhi ya wameitwa na kuhojiwa na nyaraka mbalimbali zimechukuliwa

> Amesema kuwa watu hao wana hiari ya kurejesha fedha ama kusubiri uchunguzi ukamilike

>. Amesema kuwa miongoni mwa fedha hizo ni zile zilizo tolewa na Rais John Magufuli

TFF wajibu > Baada ya TAKUKURU kusema itawahoji TFF kuhusu Bilioni 1 ya AFCON ya vijana iliyotolewa na Rais Magufuli, TFF yasema haijawahi kupokea fedha hizo


NB: Kuna nini TFF kwanini kila awamu inayoingia lazima ipige hela .

In God we Trust
 
Apo TFF hausiki hata izo ela zimepigwa juu kwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo pesa iliombwa na TFF au hao TFF walioteshwa ndoto ya kuokota dodo chini ya mnazi? kuna ulazima gani wa kutumia TAKUKURU kw suala ambalo lipo wazi kabisa kwa kuanza na aliyetoa na kujua aliingiza account ipi na kuangalia matumizi yake jambo ambalo lingefanywa na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali hata kwa siku moja ingetosha kuleta jibu sahihi?
 
MODS mumetoa Uzi kwenye Jukwaa la siasa, mkaleta kwenye mchezo. Mumemkosea pale key word ni UFISADI ambayo ni hoja kubwa ya Rais wetu na Ilani ya CCM.

Huko kwenye sports kuna wachangiaji wa michezo kama mchezo na sasa hivi sports haitembelewi sana sababu michezo imesimama duniani. Rudisheni kule please
 
Msikie Mzee Baba akikoroma kwenye TSHS 50 Million. Je hiyo 1.0 B itakuwaje
?
 
wao wamekanusha kwamba hazikuingia kwenye acc ya TFF zitakua ziliingia wapi? au ndo zile zilitumika kugharamia safari za wabunge,pierre kwenda misri
 
Hata hivo takukuru pia imesema siyo hela aliyowapa Rais tu,kuna zile ambazo wadau na makampuni walichanga
wao wamekanusha kwamba hazikuingia kwenye acc ya TFF zitakua ziliingia wapi? au ndo zile zilitumika kugharamia safari za wabunge,pierre kwenda misri
 
Salamu

Hii fedha imekuwa na ufafanuzi wenye mkanganyiko mkubwa kati ya waziri wa michezo Mh. Dkt. Mwakyembe, BMT na TFF

Mh waziri anasema ni 'zaidi' ya bilioni 1.7 huku kukiwa na maswali juu ya matumizi ya fedha iliyotolewa na Mh. Raisi pamoja na wadau wengine

Mpaka sasa hili swala linachunguzwa na TAKUKURU huku wahusika na wadau wa michezo wakihimizwa kutoa ushirikiano kwa taasisi ili kuubaini ukweli.

Wadau na wajuzi wa mambo hili limekaa vipi kwa Mh waziri je, hili ni kuti kavu?

Tiririka...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom