Takukuru Kilimanjaro yamfikisha mahakani wakili Emanuel Mlaki, je mawakili huomba rushwa?

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
TAARIFA: Takukuru Mkoa wa Kilimanjaro, imemfikisha mahakamani, Wakili Emmanuel Mlaki akituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh.300,000.
20210410_085057.jpg
20210410_085100.jpg
 
Sasa mbona hamna kesi hapo??mtu anapokeaje rushwa kwa mtwja wake waliyekubaliana malipo na bado hajakamilisha malipo?? Walotakiwa wasubiri mpaka hiyo hela akipewa huyo anayeenda kuhongwa ili apindishe Haki na si wakili anayepewa na mteja wake ili akatoe

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom