Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,598
- 6,013
Mkurugenzi wa Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma Fatna Laay amekataa kutumia fedha zote shilingi milioni 210 alizopewa kwa ajili ya kujinunulia gari lake la kazi na badala yake amenunua gari la Milioni 162 na fedha iliyobaki amewanunulia pikipiki Watendaji wa Kata 12.
Swali: Je, alichofanya ni sahihi, hakuna kanuni au sheria amezikiuka hapa?
Swali: Je, alichofanya ni sahihi, hakuna kanuni au sheria amezikiuka hapa?