BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, imetaifisha mali zenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 1.2 na kuweka zuio la fedha kiasi cha shilingi milioni 495.5 pamoja na mali zenye thamani ya shilingi bilioni 2.6 huku ikifanikiwa kuokoa shilingi bilioni 29.3.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Salum Hamdun amebainisha hayo leo Jumatano Machi 30, 2022 wakati akiwasilisha ripoti ya taasisi hiyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu ya Chamwino, Dodoma.
“Takukuru ilifungua kesi mpya 544 katika Mahakama mbalimbali Nchini, mali zilizowekewa zuio ni nyumba 15, viwanja viwili na magari matatu.
===
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, imetaifisha mali zenye thamani ya Sh bilioni 1.2 na kuweka zuio la fedha kiasi cha Sh milioni 495.5 na mali zenye thamani ya Sh bilioni 2.6 huku ikifanikiwa kuokoa Sh bilioni 29.3
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Salum Hamdun amebainisha hayo leo Jumatano Machi 30, 2022 wakati akiwasilisha ripoti ya taasisi hiyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan
“Takukuru ilifungua kesi mpya 544 katika Mahakama mbalimbali Nchini, mali zilizowekewa zuio ni nyumba 15, viwanja viwili na magari matatu,” - Hamdun.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Salum Hamdun amebainisha hayo leo Jumatano Machi 30, 2022 wakati akiwasilisha ripoti ya taasisi hiyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu ya Chamwino, Dodoma.
“Takukuru ilifungua kesi mpya 544 katika Mahakama mbalimbali Nchini, mali zilizowekewa zuio ni nyumba 15, viwanja viwili na magari matatu.
===
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, imetaifisha mali zenye thamani ya Sh bilioni 1.2 na kuweka zuio la fedha kiasi cha Sh milioni 495.5 na mali zenye thamani ya Sh bilioni 2.6 huku ikifanikiwa kuokoa Sh bilioni 29.3
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Salum Hamdun amebainisha hayo leo Jumatano Machi 30, 2022 wakati akiwasilisha ripoti ya taasisi hiyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan
“Takukuru ilifungua kesi mpya 544 katika Mahakama mbalimbali Nchini, mali zilizowekewa zuio ni nyumba 15, viwanja viwili na magari matatu,” - Hamdun.