yaani takukuru anamkamata polisi, takukuru hajaenda mafunzo yeyote ya kijesho, polisi ameenda. ningekuwa mimi ndio polisi ningemshushia kichapo hadi atite.
polisi nao wawe makini kufuatilia takukuru, watawakamata kwa rusha muda si mrefu kwasababu kuna tuhuma nyingi dhidi yao kwamba PCCB wanakula sana rushwa na katika rank ni wa watu..ukianzia mahakama, polisi, then TAKUKURU. hawa ndio vinara kula rushwa hivyo wakamatane wao kwa wao. unafiki mbaya sana aisee.
Amini usiamini hao polisi hawataenda jela mwisho wa siku utaambiwa ushahidi haukupatikana, refer kesi za wabunge na mapolisi kuhusu rushwa utaweza kujua hatma ya hii nayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.