Beauty Eva
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 131
- 374
Ni miongoni mwa taasisi chache sana nchini Tanzania zilizokuwa zimebaki na heshima na mtu alijiona salama sana akiitwa katika ofisi za chombo hiki.
Kwa sasa hali imebadilika. Mheshimiwa Sirro, tupia macho yako hapo. Mheshimiwa Mkurugenzi Mkuu Wa TAKUKURU ndugu Mbung'o tupia macho yako hapo. Ofisi hii imekuwa ikiwatesa watu wanaotuhumiwa kwa makosa.
Imefikia hatua, watumishi Wa takukuru kuwavua watu nguo na kubaki uchi wa mnyama.
Watu kupigwa, kutukanwa, kudhihakiwa na kukejeliwa, kushinda njaa pindi wanapoitwa ni mambo ya kawaida kabisa takukuru.
Takukuru iliyokuwa inasifika kwa kutumia akili, uwazi na weledi katika utendaji wake wa kazi, sasa imebaki stori. Tunateseka wananchi. Tusaidieni
Kwa sasa hali imebadilika. Mheshimiwa Sirro, tupia macho yako hapo. Mheshimiwa Mkurugenzi Mkuu Wa TAKUKURU ndugu Mbung'o tupia macho yako hapo. Ofisi hii imekuwa ikiwatesa watu wanaotuhumiwa kwa makosa.
Imefikia hatua, watumishi Wa takukuru kuwavua watu nguo na kubaki uchi wa mnyama.
Watu kupigwa, kutukanwa, kudhihakiwa na kukejeliwa, kushinda njaa pindi wanapoitwa ni mambo ya kawaida kabisa takukuru.
Takukuru iliyokuwa inasifika kwa kutumia akili, uwazi na weledi katika utendaji wake wa kazi, sasa imebaki stori. Tunateseka wananchi. Tusaidieni