TAKUKURU acheni double standards, viongozi wa CHADEMA wapandishwe kizimbani

Wewe ni mhuni unayependa kutukana haufai kabisa. Kama watu walifanya ufisadi sheria ifuate mkondo.
"kama",hapo ndio umeonesha kuwa wewe ni kanjanja na unapelekeshwa na hisia to!Kwa namna serikali wanavyowatafuta wapinzani mpaka kuwapima mkojo kwa kesi ya uchochezi,hizo tuhuma zingekuwa na hata chembe ya ukweli basi wangeshashughulikiwa ipasavyo!
 
"kama",hapo ndio umeonesha kuwa wewe ni kanjanja na unapelekeshwa na hisia to!Kwa namna serikali wanavyowatafuta wapinzani mpaka kuwapima mkojo kwa kesi ya uchochezi,hizo tuhuma zingekuwa na hata chembe ya ukweli basi wangeshashughulikiwa ipasavyo!
Kwani hazina ukweli?
 
Jaduong acha kutetea uovu. Sakata ya tril 1.5 PAC walitoa majibu bungeni na kusema hakuna ufisadi uliofanyika.
Ya akina Mbowe Waitara alishuhudia deni hewa lilivyoundwa na kulipwa. Kwa hiyo jamaa yupo sawa kabisa kuwa Chadema kuna ufisadi.
Hizi siku mbili nilikuwa off usukumani kuchukuwa mpunga nimekuta umejibu upuuzi huu !!!. Kwa swala la trl. 1.5 u umeiamini PAC , ok fine. Lakini kwa swala la Cdm na takukuru unamwamini Waitara !, mlevi !!

Daahh ukipenda chongo utaiita kengeza
 
Hizi siku mbili nilikuwa off usukumani kuchukuwa mpunga nimekuta umejibu upuuzi huu !!!. Kwa swala la trl. 1.5 u umeiamini PAC , ok fine. Lakini kwa swala la Cdm na takukuru unamwamini Waitara !, mlevi !!

Daahh ukipenda chongo utaiita kengeza
Ngoja nicheke tu jaduong. Vipi ulikuwa maeneo ya Kagongwa au?
Kwa nini Waitara nisimuamini maana kama ulevi anafanya baada kazi. Na sio kwamba ulevi wake utafanya atoe tuhuma za uongo.
 
Natoa rai kwa TAKUKURU iache mara moja kuchelewesha kuwapeleka viongozi wa CHADEMA mahakamani.

Mbowe na genge lake wametafuna bil 8 na sasa wapo uraiani.

Kuna viongozi wa chama cha ushirika huko Tabora walikula mil 200 wapo gerezani mbona hawa akina Mbowe hawachukuliwi hatua?. Hii sio haki kabisa.

Justice is blind kila anayefanya kosa apate haki yake
Mchakato wa uchaguzi usiwe sababu ya kutusahaulisha.

Tunaomba wapelekwe mahakani wapewe haki yao. Bil nane sio pesa kidogo.
Anza na Mwenyekiti wa CCM taifa
 
Write your reply...hivi kweli cdm wanavyo tafutiwaga nogwa hivi. kama nikweli wanausika mpaka leo wangekua uraian kweli?
 
Back
Top Bottom