Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
"kama",hapo ndio umeonesha kuwa wewe ni kanjanja na unapelekeshwa na hisia to!Kwa namna serikali wanavyowatafuta wapinzani mpaka kuwapima mkojo kwa kesi ya uchochezi,hizo tuhuma zingekuwa na hata chembe ya ukweli basi wangeshashughulikiwa ipasavyo!Wewe ni mhuni unayependa kutukana haufai kabisa. Kama watu walifanya ufisadi sheria ifuate mkondo.