TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,858
- 23,117
Sasa ndio nimeelewa msimamo wako.Mimi sikuwepo lakini nikiwa mfuatiliaji wa habari za aina hii kote duniani nimepata uzoefu sana wa kujua wapi ni kweli na wapi ni uwongo.Habari za kutunga kama una akili timamu ni wepesi sana kuzishika.Mfano hapo mwandishi yuko Maputo karibu na Afrika kusini lakini ana mdomo mrefu kuhusu eneo lililompakani na Tanzania.Na kila siku kukamilisha njama zahadhithi zao lazima waseme waliouwa walisema Allahu Akbar na eti walikuwa wakiwakata vichwa watu.
Inajulikana wareno wakristo ni watu makatili sana lakini nao pia hawakuwa wakiuwa watu kwa kuwakata vichwa kwenye viwanja vya mpira.Itakuwaje waislamu wafuasi wa dini inayopinga kuuliwa watu wafanye matendo haya tena kwa watu wanaowakamata tu.
Uwezekano tukio hilo halikuwepo na kama liltokea halikutekelezwa na waislamu na hao waliotekeleza si kwa kiasi hicho wala kwa namna hiyo.
Jimbo la waislamu la Cabo lina mafuta na gesi na madini muhimu.Hicho ndio chanzo cha fitina ili ipatikane sababu ya kuwaondoa waislamu kikatili na kusiwe wa kuwaonea huruma kote duniani. Watekelezaji wa ukatili huo ni wachina,mayahudi na wamarekani.Kwa ushahidi wa walioathirika na kulazimika kuhama ni kwamba kila walipohamishwa kwa namna hiyo haichukui muda eneo linachukuliwa na kujengwa majengo makubwa ya mbabeberu wa kichina na wenzao kila mmoja kivyake.