Takriban watu 22 wadaiwa kufariki dunia katika klabu moja ya usiku nchini Afrika Kusini

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,021
1,608
Polisi nchini humo wanachunguza chanzo cha vifo takriban 22, katika kilabu cha usiku katika kitongoji cha Jijini East London, vilivyotokea usiku wa Juni 25

Unathi Binqose, Afisa wa Idara ya Afya katika eneo hilo amesema wanachunguza Mazingira ya vifo hivyo na kuongeza kuwa ni mapema mno kubaini chanzo cha vifo vya vijana hao wenye umri wa kati ya miaka 18 na 20.

Amesema pia ni vigumu kuamini kuwa vifo hivyo vimesabavishwa na mkanyagano, kwani hakuna majeraha ya wazi yanayoonekana kwa Marehemu




…………,,



At least 22 people, male and female, have been found dead at a nightclub in a township in South Africa’s southern city of East London, provincial health officials said.

The bodies will be transported to state mortuaries where relatives are expected to help identify the victims, Siyanda Manana, a spokesperson for the Eastern Cape provincial health department, said on Sunday.

“We are going to immediately be embarking on autopsies so we can know the probable cause of death,” he told Reuters news agency as forensic personnel continued their work at the cordoned-off site.

said police were alerted by members of the public to the incident at Scenery Park, about 3km (1.9 miles) from the city centre.

“The circumstances under which they died are under investigation,” Kinana said, adding it was too early to determine the cause of death of the young adults aged between 18 and 20 years.

Local television showed police officers trying to calm a crowd of people gathered outside the club in the city, which lies on the Indian Ocean coast, nearly 1,000km (620 miles) south of the commercial capital, Johannesburg.

Unathi Binqose, an Eastern Cape community and safety department official, speaking from the scene, ruled out a stampede as the cause of death.

“It’s difficult to believe it’s a stampede as there are no visible open wounds to those dead,” Binqose told the AFP news agency by telephone.

“Parents whose children did not sleep home are gathered here and they want to enter the tavern to look for their loved ones,” Binqose added.

Source: Al Jazeera
 
Pole sana kwa wafiwa.
Pole kwa marehemu,wamefia pa ovyo sana.
May their soul rest in eternal peace
 
Back
Top Bottom