Yule Tajiri mwenye kujiamini ameahidi siku ya tarehe 31 Dce 2010 kuwa anatarajia kujichimba visima 1000 vya maji katika wilaya zote za Tanzania isipokuwa Dar es Salaam. Gharama ya kila kisima ni karibia mil 5 na ameitaka serikali isijihusishe kwa namna yoyote na wapi visima hivyo vichimbwe. Ameahidi kutumia utaratibu wake yeye mwenye kutafuta sehemu ya kuchimba kulingana na mahitaji watu na uwingi wao.
Pia alitumia nafasi hiyo kuwataka mafisadi waliopora mali za wananchi wazirudishe na kuomba msamahama ili mwaka 2011 uwe wa amani kwao na waanze upya kuishi kwa amani. Source (gazeti la mwananchi la tarehe 01 Jan 2011)
Pia alitumia nafasi hiyo kuwataka mafisadi waliopora mali za wananchi wazirudishe na kuomba msamahama ili mwaka 2011 uwe wa amani kwao na waanze upya kuishi kwa amani. Source (gazeti la mwananchi la tarehe 01 Jan 2011)