Fred Mwakitundu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 227
- 383
Mfanyabiashara maarufu nchini aliyewekeza kwenye biashara ya kuuuza mafuta, Patrick Ngiloi ametiwa mbaroni na jehsi la polisi nchini akihusishwa na biashara chafu ya kuza oli feki.
Ngiloi ambaye amejenga vituo vya mafuta kupitia kampuni yake ya PANONE vilivyoota kama uyoga kila kona sanjari na majengo makubwa pembezoni mwa barabara, amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro na kusafrishwa kwenda Jijini Dar es salaam ambako tukio lnadaiwa kutokea.
Taarifa kutoka ofisi ya RCO Kilimanjaro zimedhibitisha kukamatwa kwa Ngiloi ambaye anatuhumiwa kuuza oil hiyo chafu kutoka kampuni Moja ya wachina iliyoko eneo la Bagamoyo mkoani Pwani.
Hata hivyo Panone kwa sasa yuko mtaaani baada ya kuachiwa kwa 'dhamana' ,tunaendelea kufuatilia kinachoendelea katika sakata hilo.
Ngiloi ambaye amejenga vituo vya mafuta kupitia kampuni yake ya PANONE vilivyoota kama uyoga kila kona sanjari na majengo makubwa pembezoni mwa barabara, amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro na kusafrishwa kwenda Jijini Dar es salaam ambako tukio lnadaiwa kutokea.
Taarifa kutoka ofisi ya RCO Kilimanjaro zimedhibitisha kukamatwa kwa Ngiloi ambaye anatuhumiwa kuuza oil hiyo chafu kutoka kampuni Moja ya wachina iliyoko eneo la Bagamoyo mkoani Pwani.
Hata hivyo Panone kwa sasa yuko mtaaani baada ya kuachiwa kwa 'dhamana' ,tunaendelea kufuatilia kinachoendelea katika sakata hilo.